Hussein Bashe anastahili pongezi kwa namna anavyochapa kazi katika Wizara ya Kilimo na kutekeleza maelekezo ya Rais Samia

Hujasikia bado kuhusu mpango wa Ruzuku uliozinduliwa utakao msaidia mkulima kupata pembejeo kwa Bei nafuu ukilingasha na mwaka Jana, hujafuatilia juu ya soko la mazao hasa mahindi ambapo Sasa yanauzwa kwa Bei nzuri, au wewe unaishi Marekani
 
Lini mh Hussein Bashe amezuia mahindi kwenda nje ya nchi, Hukusikia akisema kuwa serikali haiwezi kufunga mipaka ili mahindi yasiuzwe nje Bali itazibiti mfumuko wa Bei lakini pia akawaasa wananchi kutunza mahindi ya chakula, kilimo Ni biashara na ndicho anachotaka mh Hussein Bashe ili mkulima afaidike na jasho lake
 
Hujasikia bado kuhusu mpango wa Ruzuku uliozinduliwa utakao msaidia mkulima kupata pembejeo kwa Bei nafuu ukilingasha na mwaka Jana, hujafuatilia juu ya soko la mazao hasa mahindi ambapo Sasa yanauzwa kwa Bei nzuri, au wewe unaishi Marekani
Nani kapewa ruzuku kwa hela kutoka kwa nani?

Bashe ana hela?

Bashe ana soko la kitu chochote?Bashe anajua mahindi yanauzwaje?

Bashe ndio anapanga bei ya mahindi?

Nchi hii sio Market Economy tena ni Economy through a stupid one person called Bashe?

Listen....mazao wanauziana watu wawili waliokutana wakakubaliana bei na wakauziana,iwe wa nje au wa ndani!

Nashe kazi yake ni kutoa leseni tu,ahatakiwi kujua hata wameuzianaje!

Unamuweka Bashe katikati ya biashara ya watu wawili kivipi kwa mfano?

Bashe hajui maana ya kutafuta wateja wa kununua mazao ya mtu,wakulima ndio wanajua mteja ni nani na hiyo kazi ndio wanaiweza maana ndio kazi yao,Bashe na domo lake kubwa anaingilia hiyo biashara kama nani kama sio mkwamishaji?

Bei za mazao anapanga Bashe yeye kama nani?Kalima yeye kwani?Mnunuzi ni yeye kwani?

Wapanga bei ni muuzaji na mnunuzi,huwezi wapangia waelewane vipi.

Eti bei imepanda,kapandisha yeye kwani yeye mnunuzi wa chochote dunia hii?

Kafieni huko madomo makubwa tu,halafu IQ ndogo....self promotion tupu!
 
kwaiyo tumpe Nani hiyo wizara labda
 

Kazi ya kuzuia mfumuko wa bei nchini sio kazi ya Bashe hata kidogo...

Ni Policy issue....na tukifika kwenye ishu ya Policy Bashe hana mamlaka yeyote....yeye anatekeleza policy iliyoko mezani

Bashe anazuia leseni za kuuza mazao nje na ku-import mazao....ndio kazi za Bashe na serikali kwa ujumla

Mwambie Bashe na serikali wawaachie wakulima wafanye kazi zao kwa uhuru,hawataki "misaada" feki ya Bashe na serikali..wao ndio wanajua kazi ya ukulima kuliko mtu yeyote serikalini,wao ndio wanajua jinsi ya kuuza mazao yao,wao ndio wanajua kila kitu.....Bashe hajui lolote kuwashinda wakulima wenyewe..

Wewe kuja hapa na ku-act as if Bashe knows anything kuliko wakulima wenyewe nakuona kichaa kabisa

Kaeni kushoto madomo yenu makubwa...waacheni wakulima wafanye kazi zao na biashara zao,they know better than anyone in your stupid government
 
Kwamba jufa
Kwa
Bila Shaka hufahamu majukumu ya Waziri wizarani na hata waziri yoyote akienguliwa kwa kushindwa kutimiza wajibu wake huwa huelewi wajibu wake Ni upi alioshindwa kuutimiza,
 
Kwamba jufa

Kwa

Bila Shaka hufahamu majukumu ya Waziri wizarani na hata waziri yoyote akienguliwa kwa kushindwa kutimiza wajibu wake huwa huelewi wajibu wake Ni upi alioshindwa kuutimiza,
Majukumu ya waziri na serikali ni kuzuia vitu na kudhibiti watu

Hakuna kingine

Eti alitoa ruzuku,zinatoka wapi hizo hela?What a lie....seriali ina hela ya kuwapa wakulima hand in hand for free?Serikali imegeuka benki ya ukopeshaji?Tangu lini a govt has turned into a financial institution?Kwanza hela wamepata wapi?

Eti kazuia mfumuko wa bei,Bashe ni nani azuie mfumuko wa bei?,

mavi kabisa yule...mfumuko wa bei mpaka Rais hauwezi Bashe anauweza kwa kua na domo refu na kwa powers gani alizonazo?

Waziri hana wajibu wowote....yeye akae asiingilie kazi za watu...wakulima wanajua kulima kuliko yeye,na wanajua pa kwenda kuuza mazao yao kuliko yeye...yeye ana nini analojua zaidi ya mkulima?

Serikali ni so stupid inafikiri mwananchi ni kiumbe fulani hivi kisichojua lolote,kiumbe dhaifu,hakijui kinachofanya,eti serikali ni this big brother knows everyhing and has everything to rescue these weak human beings,kumbe ni group la mapumbavu who have nothing and knows nothing about anything kushinda wananchi wahusika wenyewe wa hizo kazi
 
Kama anataka sana pongezi aandae tamasha la kujipongeza otherwise huo ni wajibu wake kwa nafasi aliyonayo labda kwa akili zake anaona anachikifanya ni hisani tu.
 
Tumpe John au Joshua!
Unajua mkuu,mkulima ndio anajua kila kitu,cha ajabu waziri anakuja huko na domo refu,eti kaja kuwaokoa wakulima

Mind you,waziri huyu ni useless hajawahi kua mkulima wala infact hajui nini maana ya jembe

Anakuja na maneno ya dharau kama "nawapa msaada"....halafu "mimi ndio nimeleta bei ya mazao"..etc

You wonder,how on earth can Bashe be in between a buyer and a seller waliokubaliana kuuziana bidhaa?

Wakulima ndio wanajua buyer ni nani na mahali walipo na wanapatikanaje maana ndio fani yao,Bashe hawajui hata sura hata walipo hajui..hata kama anajua,what will he tell the buyers?

Maana hana mahindi yeye kama yeye,mahindi ni ya wakulima,only wao ndio wanaweza ongea na buyers wakaelewana biashara...Bashe au any waziri for that matter ni useless and piece sh1t!
 
Bila Shaka una chuki binafsi na mh Hussein Bashe maana kumbe hujuwi hata hela za serikali zinatoka wapi, hata majukumu ya Waziri wizarani huyajuwi, kwa ufupi umejibu kimhemuko kwa kuongozwa na chuki binafsi, kubali kataa, penda usipende ukweli unabaki kuwa mh Hussein Bashe Ni Waziri mchapa kazi na anaimudu vyema Wizara hii na ndio maana watanzania wanakubali utendaji wake
 
You mean hela za kodi?

Wizara ya Kilimo ina bajeti shingi ngapi ndugu ya kugawa ruzuku kama hela za bure kwa wakulima?

Mimi nina chuki na majitu yanayopiga domo reeeeefu kwa vitu ambavyo si kweli

Wizara kazi yake ni "kutoa leseni" full stop!

kazi zingine ni za uwongoooo mtupu na hazihitajiki

Eti "Bashe anagwa ruzuku"....kamgawia nani na lini?Na hela kazitoa wapi maana wizara ina bajeti ya 0 shillings.....ruzuku ni hela za bure,wewe unadhani kuna mtu mjinga hapa?
 
Kweli Mkuu yule jamaa ni much know,anapaswa ajenge mifumo kwanza hasa supply chain system ya mbolea,madawa na kuhakaikisha tunakuwa na mashamba ya mbegu bora nk.Nimekuwepo kwenye hii sekta kwa muda mrefu kidogo,nfahamu mambo mengi kidogo.Hizi Wizara za kisekta hazitaki maneno mengi,statistics ndiyo zitaongea,maana tunaangalia kabla hajaja yeye production ilikuwaje na yeye kaongeza nini.Juzi nimemsikia akisema wakulima waendelee kuuza mazao wakati kuna ripoti ya Benki ya Dunia mwaka huu inaonesha maeneo ya Afrika Mashariki nchi za Kenya, Ethiopia na South Sudan hali ya chakula ni mbaya sana,sasa sisi akiba ya chakula cha kutosha tunayo?
Hiki kikosi Cha walamba asali iki,kitaangusha Taifa.
 
Wangapi wanashindwa kutimiza wajibu wao, Sasa kwanini Tusimpongeze mtu Anaye timiza vyema majukumu yake, utashindwaje kumpongeza mchezaji anayefanya vyema uwanjani hata Kama Ni wajibu wake, hujiulizi kwa Nini Kuna tuzo Bora ya mfanyakazi Bora au mchezaji Bora, kwanini wapewe na wengine wanyimwe wakati wote Ni wajibu wao, kwanini wasipewe wote, kwanini tuzo Apewe mesi tu au Ronaldo wakati hawachezi pekeee yao, mh Hussein Bashe Anastahili pongezi
Kama anataka sana pongezi aandae tamasha la kujipongeza otherwise huo ni wajibu wake kwa nafasi aliyonayo labda kwa akili zake anaona anachikifanya ni hisani tu.
 
Mkuu

Nadhani kuna hatari ya kufukuzwa ameiona..

Maana nimeona hizi kampeni zake zimeanza kwenye magroup wasap ya wakulima kama wiki sasa

Huu ni mkakati wake wa kujipromoti sijui kuna kitu amekiona cha kufukuzwa kazi maana maza yeye katika kuteua si kila sekunde anabadilika

Hii trend nimeiona kaianza kwenye magroup huko..na huu ni muendelezo...

Unachosema hapa ni kweli kabisa nakuunga mkono....ana domo refu mno
 
Kamsikilize mh Rais hotuba yake mkoani Mbeya, kwani billioni Mia moja ya Ruzuku katika mafuta ulitoka wapi, hujuwi Wizara ya kilimo chini ya mh Hussein Bashe imetenga takribani Billion Mia hamsini kwa ajiri ya pembejeo hasa kilimo au yote hujuwi
 
Mpongeze wewe

Mimi naona kichwa cha mwendawazimu kabisa
 
Kamsikilize mh Rais hotuba yake mkoani Mbeya, kwani billioni Mia moja ya Ruzuku katika mafuta ulitoka wapi, hujuwi Wizara ya kilimo chini ya mh Hussein Bashe imetenga takribani Billion Mia hamsini kwa ajiri ya pembejeo hasa kilimo au yote hujuwi
Tumetenga this ...tumetenga that....and blah blah blah

Hii lugha ya "tumetenga" ipo tangu kipindi ya Mwinyi

Tunalima mwaka wa 30 sasa,hii stupidity ya "tumetenga" hatujawahi ona imeletwa kwa yeyote

Tunachojua sisi wakulima ni kwamba,ardhi natafutwa mwenyewe,hela natafuta mwenyewe,nanunua agricultural inputs kutoka kwa wafanyabiashara wenzangu,nalima,navuna,nahifadhi,natafuta masoko mwenyewe,napeleka invoice,nalipwa,nalipa kodi....

Serikali haijawahi onekana mahali popote ni mpaka unapoenda kulipa kodi ndio unakutana nayo

Sijawahi kutana na waziri au afisa yeyote wa serikali ukiacha wakati naenda kuomba leseni ninayo hangaishwa nayo makusudi ili nisi export

Kufatana fatana tu kutukwamisha,hakuna jingine

Mnakuja kupiga picha kwenye mashamba yetu muuze kwenye social media eti "tumesaidia"....

Umsaidie nani kichaa wewe hujui hata jembe ni nini?

Tumetenga Bilioni nyoko nyoko....takataka kabisa....mnazila wenyewe..heri mle halafu mnyamaze basi...cha ajabu mnapanua madogo mnaongelea ujinga hatujawahi uona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…