Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Hata nami naona Hilo mkuu kuwa huyu ndugu yetu ana chuki binafsi na mh Waziri Hussein Bashe, maana naona hajengi hoja za kueleza kwa takwimu au ushahidi za kupinga tusemayo Bali amejikita katika matusi na kauli zenye ukakasi kwa mh WaziriClearly either kuna kitu unajua kuhusu Bashe sisi wengine hatujui au labda ni chuki tu zisizo na msingi.
Kwa mim raia wa kawaida kabisa na akili yangu ndogo wizara ya kilimo nikiipima kwa data kabla na baada ya Bashe naona kuna mambo mengi ameyapa momentum/msukumo. Wakati mwingine hata kuwapa wadau wa sekta confidence na political will ni mchango tosha.
Ukiona mtu badala ya kujenga hoja anajikita katika matusi Basi ujuwe Kuna tatizo mahali linalomsibu, maana mtu mstaarabu na muungwana lazima ajikite katika hoja bila matusi Wala ukakasi wa lugha hata Kama hamtakubaliana katika hoja,