Hussein Bashe anastahili pongezi kwa namna anavyochapa kazi katika Wizara ya Kilimo na kutekeleza maelekezo ya Rais Samia

Hussein Bashe anastahili pongezi kwa namna anavyochapa kazi katika Wizara ya Kilimo na kutekeleza maelekezo ya Rais Samia

Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii. Kila mtanzania alitamani na kuomba apewe uwaziri wa kilimo ili atekeleze kwa matendo yale azungumzayo. Hatimaye akaaminiwa na kupewa wizara. Kiukweli tangu amepewa tumeona namna wizara ilivyobadilika kiutendaji.

Ni mfuatiliaji mzuri juu ya kinachoendelea wizarani kwake na hata akisimama kuzungumza unajua na kuona kuwa anazo taarifa zote za wizara na anafuatilia utendaji kazi wizarani. Naona namna yeye na mama yetu Mh. Rais wanavyopambana kuhakikisha mwaka huu mbolea inapatikana kwa bei rafiki kwa kutoa ruzuku huku mkulima akiuza mazao yake kwa bei nzuri.

Hongera Sana Mh. Hussein Bashe, vijana tunakutegemea uendeleee kuchapa kazi ili kilimo kitunufaishe. Maana kilimo ni ajira na pumzi yetu, kilimo ndio usalama wa nchi, hivyo simamia vyema kulinda usalama wetu wa chakula na uchumi wetu. Maana kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu.

Asante, kazi iendeleeee! Baba yangu anasema wewe ni kama mzee Paul Kimiti alivyoitendea haki wizara hiyo.
Kama Tanzania tungekuwa na mfumo wa kupigia kura mawaziri bora ,,,, basi huyo Hussein Bashe ni waziri bora zaidi kijana kuliko yeyote namaanisha sio Mwigulu, Makamba wala nani
 
Hakuna kitu Kama hicho mbona kwenye sensa watu wengi wamepata bila kuangalia vyama vyao, nafas zilikuwa chache tusingeweza sote kupata, waliopata wamepata na tuliokosa maisha lazima ya songe huku tuliendelea kusubiri kuhesabiwa na kuhamasisha wengine wahesabiwe kwa maendeleo ya Taifa letu
Sijaandika Ili tubishane
 
Kama Tanzania tungekuwa na mfumo wa kupigia kura mawaziri bora ,,,, basi huyo Hussein Bashe ni waziri bora zaidi kijana kuliko yeyote namaanisha sio Mwigulu, Makamba wala nani
Wote ni pile of sh1t

Hatuko hapa kupiga kura ya "afadhali".....
 
Hu
Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii. Kila mtanzania alitamani na kuomba apewe uwaziri wa kilimo ili atekeleze kwa matendo yale azungumzayo. Hatimaye akaaminiwa na kupewa wizara. Kiukweli tangu amepewa tumeona namna wizara ilivyobadilika kiutendaji.

Ni mfuatiliaji mzuri juu ya kinachoendelea wizarani kwake na hata akisimama kuzungumza unajua na kuona kuwa anazo taarifa zote za wizara na anafuatilia utendaji kazi wizarani. Naona namna yeye na mama yetu Mh. Rais wanavyopambana kuhakikisha mwaka huu mbolea inapatikana kwa bei rafiki kwa kutoa ruzuku huku mkulima akiuza mazao yake kwa bei nzuri.

Hongera Sana Mh. Hussein Bashe, vijana tunakutegemea uendeleee kuchapa kazi ili kilimo kitunufaishe. Maana kilimo ni ajira na pumzi yetu, kilimo ndio usalama wa nchi, hivyo simamia vyema kulinda usalama wetu wa chakula na uchumi wetu. Maana kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu.

Asante, kazi iendeleeee! Baba yangu anasema wewe ni kama mzee Paul Kimiti alivyoitendea haki wizara hiyo.
Huyu bashe nikweli amesema nchi nzima mbolea bei moja lakini waziri wa biashara Dr ashantu simwelewi haoneshi cimenti iuzwe kiasi gani huku kigoma mfuko ni 21000-23000 vijijini kama kalya huko 27000-30000 kwa mfuko amtoe huyu waziri
 
Naomba kupatiwa namba ya waziri Bashe kwa yeyote aliye nayo.
 
Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii.

Hongera Sana Mh. Hussein Bashe, vijana tunakutegemea uendeleee kuchapa kazi ili kilimo kitunufaishe. Maana kilimo ni ajira na pumzi yetu, kilimo ndio usalama wa nchi, hivyo simamia vyema kulinda usalama wetu wa chakula na uchumi wetu. Maana kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu.

Asante, kazi iendeleeee! wewe ni unaitendea haki wizara hiyo.
Mkuu Lucas mwashambwa, naunga mkono hoja Wapinzani msione aibu kushirikiana na CCM kwenye hoja zenye maslahi ya Taifa! Bashe ni mzalendo, aungwe mkono na wote!
P
 
Mapropaganda haya.

Bashe is a useless gu, kujipromoti tu, na maneno kibaoo. He is not what he is claiming to be

I know sh1t when i see one!
Watanzania kwa roho mbaya hawana mfano! Sasa wewe ungejibu kwa hoja lakini umebaki majungu tu
 
Watanzania kwa roho mbaya hawana mfano! Sasa wewe ungejibu kwa hoja lakini umebaki majungu tu
sasa mzee unalazimisha nimpende mtu?

kwahiyo mtu akimchukia mtu ni majungu?

sio lazima nimpende mtu...ukimpenda wewe inatosha....wengine tubaki na kumchukia

yanini unalia lia?
 
Awapelekee Pikipiki 7,000 alizowaahidi Maafisa Kilimo kule vijijini. Amewaacha solemba kule
 
Ili nimpongeze. Ninge penda kuona.
1. Kila Kata/Wilaya iwe na Irrigation Scheme ya zao mhimu la eneo hilo.
2. Afufue mazao maarafu ya Enzi za Mwl. Nyerere ya kila Mkoa. Mf. Ndizi-Bukoba , Maharage-Mbeya, Mpunga-Kyela, Mkonge- Moro, Tumbaku-Tabora, nk.
Nje na hapo tutakula plastic za China.
 
Hussein Bashe hata kabla ya kuingia na kuteuliwa katika wizara hii alikuwa akisimama bungeni kuchangia katika wizara hii. Kila mtanzania alitamani na kuomba apewe uwaziri wa kilimo ili atekeleze kwa matendo yale azungumzayo. Hatimaye akaaminiwa na kupewa wizara. Kiukweli tangu amepewa tumeona namna wizara ilivyobadilika kiutendaji.

Ni mfuatiliaji mzuri juu ya kinachoendelea wizarani kwake na hata akisimama kuzungumza unajua na kuona kuwa anazo taarifa zote za wizara na anafuatilia utendaji kazi wizarani. Naona namna yeye na mama yetu Mh. Rais wanavyopambana kuhakikisha mwaka huu mbolea inapatikana kwa bei rafiki kwa kutoa ruzuku huku mkulima akiuza mazao yake kwa bei nzuri.

Hongera Sana Mh. Hussein Bashe, vijana tunakutegemea uendeleee kuchapa kazi ili kilimo kitunufaishe. Maana kilimo ni ajira na pumzi yetu, kilimo ndio usalama wa nchi, hivyo simamia vyema kulinda usalama wetu wa chakula na uchumi wetu. Maana kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi yetu.

Asante, kazi iendeleeee! Baba yangu anasema wewe ni kama mzee Paul Kimiti alivyoitendea haki wizara hiyo.
Bashe ni mzalendo alieamua kukomaa kubadili mfumo akiwa ndani ya chama na Serikali.

Amekataza offers za CDM mara kadhaa.

Songa mbele Bashe, usirudi nyuma.
Ameeeen.
 
Mkuu

Mimi ni mkulima na mfanyabiashara....naona nichukue decision upon myself niondoe huu uongo wa Bashe and his minions are peddling here!

Nachukua sana watu wanaotanua madomo yao kuongea uongo kujinufaisha kupitia migongo ya anayodai eti "anawasadia" like he is a messiah or some sh1t like that!

What a lie

Wewe kusema nina chuki binafsi ni assessment yako,of which you are entit
Itoshe kusema ficha chuki zako kwa kuwa huna unachohitaji kuezwa ukaelewa.

🚮🚮🚮
 
sasa mzee unalazimisha nimpende mtu?

kwahiyo mtu akimchukia mtu ni majungu?

sio lazima nimpende mtu...ukimpenda wewe inatosha....wengine tubaki na kumchukia

yanini unalia lia?
Siyo kupenda wala nini lakini unamsema mtu unajibu kwa hoja kwa nini ameshindwa
 
Siyo kupenda wala nini lakini unamsema mtu unajibu kwa hoja kwa nini ameshindwa
nimejibu hoja zote

zitaje hoja ambazo sijajibu!

au unajisikia kuharisha tu?

Nimepinga huo "uchapakazi" wa huyo mwenye domo refu kwa hoja na sababu.....

namchukia ndio..kama wewe unavyompenda....who cares?
 
Itoshe kusema ficha chuki zako kwa kuwa huna unachohitaji kuezwa ukaelewa.

🚮🚮🚮
kwani nikiwa na chuki ndio kwamba sina haki ya kua na chuki?

wewe una upendo mimi nina chuki na huyo mtu....hatari yako ni nini?

nifiche chuki yangu kwa huyo mtu kwa maana kua na chuki nae ni kosa?kwa mujibu wa sheria ipi?

namchukia ndio.....wewe mpende....shida ipo wapi?

sijakufatilia kukuambia umchukie kama ninavyomchukia mimi,cha ajabu wewe ndio umepanua domo kunishurutisha mimi niache chuki yangu kwake nimpende kama wewe unavyompenda...kwanini unaingilia uhuru wa wengine?
 
Wewe umeona anachapa kazi well and good

Kuna mimi naona ni mavi matupu,well and good

Shida ni pale wewe unapolazimisha watu wafate unavyoona wewe...eti "tumpongeze"....mpongeze wewe!

Kikwangu mimi,Bashe ni mtu wa kujionesha na maneno mengi na kujifanya anajua sana vitu of which for the longest he has been given chances with nothing to show off.

Tatizo anajua kujipromoti mno kuliko anachoweza kufanya...useless kabisa

Mineno miiingiiii,sifa nyiiiiingi....we know his IQ is as low as the rest of us....katuzidi domo kubwa tu!
Clearly either kuna kitu unajua kuhusu Bashe sisi wengine hatujui au labda ni chuki tu zisizo na msingi.

Kwa mim raia wa kawaida kabisa na akili yangu ndogo wizara ya kilimo nikiipima kwa data kabla na baada ya Bashe naona kuna mambo mengi ameyapa momentum/msukumo. Wakati mwingine hata kuwapa wadau wa sekta confidence na political will ni mchango tosha.
 
kwani nikiwa na chuki ndio kwamba sina haki ya kua na chuki?

wewe una upendo mimi nina chuki na huyo mtu....hatari yako ni nini?

nifiche chuki yangu kwa huyo mtu kwa maana kua na chuki nae ni kosa?kwa mujibu wa sheria ipi?

namchukia ndio.....wewe mpende....shida ipo wapi?

sijakufatilia kukuambia umchukie kama ninavyomchukia mimi,cha ajabu wewe ndio umepanua domo kunishurutisha mimi niache chuki yangu kwake nimpende kama wewe unavyompenda...kwanini unaingilia uhuru wa wengine?
Inatakiwa umchukie mtu na kuwa na chuki na mtu kwa sababu zenye mashiko hasa kwa Jambo Hilo linalohusu utendaji kazi wa mh Waziri wetu, maana utendaji kazi wa Waziri tunaupima kwa matokeo chanya yatokanayo na Sera mipango na miongozo mbalimbali inayoratibiwa na kusimamiwa na Waziri na maafisa wote chini ya Wizara,

Tuna kila sababu ya kusema mh Hussein Bashe Anastahili pongezi kwa namna anavyo tekeleza wajibu wake katika wizara hii inayogusa maisha ya watanzania wengi ambao kwao kilimo ndio Pumzi yao na yetu
 
Huyo Waziri wako "anamsaidia" nini Mkulima au mfugaji?

Maana naona unatumia neno "kusaidia" kimakosa!

Waziri ambae hajawahi kugusa jembe,waziri ambae hajui lolote kuhusu nini maana ya kuuza mazao ya mtu,waziri asiejua lolote kuhusu kukopa na kununua mbolea,waziri asiejua lolote jinsi ya mtu kupata ardhi,etc

Leo eti waziri huyo anajitia eti ni mesiah kaja kuwakomboa wakulima?

Yaani leo Bashe ndio awafundishe wakulima jinsi ya kulima na kufanya biashara ya kilimo?

Bashe anawapa kitu gani chochote cha bure?Hatoi hela,hatoi vifaa,hatoi ardhi,hajui lolote kuhusu kulima.....

Huo "msaada" unaosemea ni upi,hebu utaje!

Wewe ni Bashe,msomali mwenye domo kubwa kuliko wote...na self promotion!
Nadhani ungejikita kusema nini ambacho hafanyi kwa usahihi unge win argument. Zaidi utaonekana una chuki binafsi.
Mfano sema
Tatizo A hajalitatua
Au ameanzisha jambo B ambalo ni upigaji wala halimsaidii mkulima
 
Back
Top Bottom