Hussein Bashe anastahili pongezi kwa namna anavyochapa kazi katika Wizara ya Kilimo na kutekeleza maelekezo ya Rais Samia

Pamoja na kwamba Bashe ana mapungufu mengi,Ila ww Una chuki mbaya sana na Bashe,alafu ww ni mtoto wa kiume, yaani Hadi aibu!🤔
 
Siyo Mimi tu Bali watu wengi sanaaa wanafurahishwa na kuridhishwa na utendaji kazi wa mh Hussein Bashe
Takwimu umezipatia wapi mkuu?

Au usikute una confuse na audience inayoangalia stupidity of a clown Bashe?

Unanikumbusha Bashite alikua anafurahi watu wanampigia makofi kumbe ni audience inayoangalia stupidity of a clown!
 
Takwimu umezipatia wapi mkuu?

Au usikute una confuse na audience inayoangalia stupidity of a clown Bashe?

Unanikumbusha Bashite alikua anafurahi watu wanampigia makofi kumbe ni audience inayoangalia stupidity of a clown!
Kwani wewe hufuatilii,
 
Takwimu umezipatia wapi mkuu?

Au usikute una confuse na audience inayoangalia stupidity of a clown Bashe?

Unanikumbusha Bashite alikua anafurahi watu wanampigia makofi kumbe ni audience inayoangalia stupidity of a clown!
Amejibu maswali ya wakulima kwa vitendo, huku nyanda za juu kusini huwaambii kitu wakulima juu ya mh mama Samia suluhu Hassani na Mh Hussein Bashe katika wizara hii, wanasema mama amuache hapohapo ili kuinua kilimo ambacho ndio pumzi ya nyanda za juu kusini
 
Pamoja na kwamba Bashe ana mapungufu mengi,Ila ww Una chuki mbaya sana na Bashe,alafu ww ni mtoto wa kiume, yaani Hadi aibu!🤔
Mkuu

Mimi ni mkulima na mfanyabiashara....naona nichukue decision upon myself niondoe huu uongo wa Bashe and his minions are peddling here!

Nachukua sana watu wanaotanua madomo yao kuongea uongo kujinufaisha kupitia migongo ya anayodai eti "anawasadia" like he is a messiah or some sh1t like that!

What a lie

Wewe kusema nina chuki binafsi ni assessment yako,of which you are entitled to...sijui mwanamke and blah blah,thats on you brother!
 
Kamnyanyua nani mkuu?

Kampa nini mtu mpaka kumnyanyua?

Maana unaongea vapors!
 
Nifuatilie ya nini?

Nafuatili uongo mimi?Sina shughuli za kufanya?

Wewe sema,kamnyanyua nani kwa kumfanyia nini hasa?

I will wait.....
Kanyanyua wakulima kwa kuhakikisha kuwa wanapata Bei nzuri ya mazao lakini pia katika msimu ujao Bei ya pembejeo hasa mbolea inakwenda kuwa nzuri
 
Kanyanyua wakulima kwa kuhakikisha kuwa wanapata Bei nzuri ya mazao lakini pia katika msimu ujao Bei ya pembejeo hasa mbolea inakwenda kuwa nzuri
Bei nzuri kaipatia wapi wewe?

Kwani yeye ndio buyer anae negotiate na sellers ambao ni wakulima?

Pembejeo kazitolea wapi?Anauza pembejeo kwani?Waziri kawa mfanyabiashara?

Nashindwa kuelewa.....kuuza mazao ni biashara kati ya watu wawili,yeye waziri anaingia wapi kwenye hiyo biashara?

Kuuza pembejeo na mbolea ni biashara,yeye waziri anaingia wapi kwenye umiliki wa hizo mali?Mpaka atoe uamuzi wa nani auziwe nini na kwa bei gani.

Waziri hausiki popote hapo....labda kupanua domo

Muwe mnadanganya watoto sio watu wazima wanaolima mwaka wa 30 sasa
 

Hivi hujashuhudia Waziri wetu akiwa mpakani na maofisa wa Wizara wakishughilikia suala la kukwama kwa mahindi kuvuka mpaka, hujashuhudia Waziri akifanya mazungumzo na kusaini mikataba na wawekezaji wanaotaka kuja kuwekeza kwenye kilimo, hujasikia Waziri akifanya kazi ya kuzungumza na taasisi mbalimbali za utafiti wa mbegu Bora zitakazo ongeza kipato kwa mkulima,
 
Ulimsikiliza bashe vizuri maana hayo yote aliyatolea ufafanuzi mzuri sana
 
Mahindi kukwama mpakani ni tatizo la kiserikali mahusiano yake na serikali inayofuata

Mfanyabiashara au mkulima hausiki hata kidogo

Yeye kakwamishwa na maserikali mawili yasiyoelewana....yeye ana kibali,ana mzigo,anasafirisha vizuri kwenda kwa mteja wake....so sad maserikali mawili yanayomiliki mpaka hayaelewani anaepata shida ni mkulima ambae hausiki

Mkulima yeye kafanya kosa wapi mpaka Bashe/serikali eti imeenda mpakani "kumsaidia"?

Always governments are the stumbling blocks on any legal business and Bashe na serikali yake ni chanzo cha yeye kusimamishwa mpakani

Kwahilo Bashe hajasaidia mkulima popote.............kwanini wamsimamishe to begin with?Serikali hiyo hiyo ndio chanzo cha yeye kusimamishwa....halafu eti "tumemsaidia"...bure kabisa

Serikali imesaini mkataba na wawekezaji,mkulima wa Tanzania anahusikaje hapo?

Wamesaini wampe ardhi ya bure,na vitu vingine vya bure kwa makubaliano maalumu....Mkulima wa Tanzania anasaini serikali wapi apewe hivyo vitu?Hakuna popote

Serikali "inazungumza" na taasisi mbalimbali za kuboresha mbegu,wakizungumza ndio kwamba sisi wakulima tutapewa mbegu bure?

Taasisi hizo tunazijua way before serikali kuzifahamu,na tumekua tukinunua mbegu huko way before Bashe hayupo popote...leo Bashe kaenda "kuzungumza" nao ili iweje hasa?

Kwamba tutapata mbegu bure?Mbegu ni biashara,tunachajiwa kwa bei sawia,serikali haiwezi "ongea" tupewe bure wao wapate hasara sababu Bashe kaongea nao?

Hivi huu msamiati "mazungumzo" mbona mnatumia kama kichaka kujionesha labda kuna kazi sana mnafanya?
 
Ndugu Wyatt Mathewson umeandika ukweli mtupu.
Kuna wanasiasa wanapenda kujipromote sana badala ya kufanya kazi. Huyu Bashe ni mmojawapo.
Nimekutana naye huko Dodoma mara mbili,kauli zake ni za kujitweza sana as if yeye ndiye mkombozi wa sisi wakulima + wafanyabiashara ya mazao.
Mbona hatuoni haya mambo ya kupiga domo kwa Tonito!!??
Nimeona hii trend ya kumpigia promo kwenye groups tatu ambazo nipo za wakulima na wafanyabiasha ya mazao na pembejeo.
Kongole kwa kuandika ukweli.
 
Ulimsikiliza bashe vizuri maana hayo yote aliyatolea ufafanuzi mzuri sana
Alitoa ufafanuzi upi?

Maduka ya pembejeo?

Maduka ya Mbegu?

etc?

Hayo yote ni mali ya wananchi wafanyabiashara,waliojituma wakakopa wakaamua kuamini na kuwekeza kwenye biashara hizo za pembejeo na mbegu kuwa supply wakulima kama mimi na wewe.

Bashe kaingia wapi kwenye hayo maduka?

Kawapa mtaji yeye?

Kwanza hivi Bashe anajua pembejeo zinajengwa nchi gani na zinanunulikaje na zinakujaje nchini mpaka mimi mkulima nazipata?Yeye hivi anajua nini hapo na "kusaidia" nini hapo hasa?
 
Sawa
 
Hujuwi huwa kunafanyika hujuma au wewe Ni mgeni na biashara za nchi na nchi au unazani Kuna anayetaka kuwa soko la mwenziye, mh Bashe Hussein anastahili pongezi kubwa, Najuwa moyo wako umejaa chuki na kinyongo juu ya mh Hussein Bashe, Hivyo huwezi ona Mambo mazuri afanyayo, Hata hivyo siyo shida maana watanzania wanaoona na tunaona kazi afanyazo na ndio maana anasifiwa na kupongezwa kwa kazi nzuri afanyazo katika wizara hii tegemeo hapa nchini kwa kundi kubwa la wananchi, Ambapo Wizara hii ndio uzi au kamba ambayo ikilegea Basi Watanzania wanajuwa wamelegea, Songa mbele mh Bashe katika kumsaidia mama yetu kipenzi katika Nafasi aliyo kuamini ili uwatumikie watanzania
 
Aiseee

Tuna shida sana nchi hii

Kwenye hujuma yeyote nchi hii kuna vyombo maalumu vya kufanya uchunguzi na kuchukulia wafanya hujuma hatua mahakamani na wanafungwa

Bashe ni mwanasiasa,hayupo kwenye law enforcement system,yeye ni mwanasiasa!

Unaposema Bashe anachunguza hujuma,ana weledi huo?Maana weledi huo wanao law enforcement na sio yeye mwanajamii wa kawaida!

Kama biashara inafanyika,inatokea hujuma popote,kuna vyombo maalumu vya kujua na kufungulia watu kesi na wakafungwa

Unamgeuza Bashe masihi kwa kumpa kazi zisizomhusu ambazo infact hawezi zifanya na hawezi....anaishia kupiga domo reeefu

Biashara ni ya seller na buyer,inayofanyika kwenye mfumo mliokubaliana kwa sheria za nchi inakofanyikia na international law,baada ya hapo Bashe haingii popote hapo.

Mengine unayoongea ni nyege nyingi ulizobeba za Bashe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…