Hussein Bashe anastahili pongezi kwa namna anavyochapa kazi katika Wizara ya Kilimo na kutekeleza maelekezo ya Rais Samia

Hata nami naona Hilo mkuu kuwa huyu ndugu yetu ana chuki binafsi na mh Waziri Hussein Bashe, maana naona hajengi hoja za kueleza kwa takwimu au ushahidi za kupinga tusemayo Bali amejikita katika matusi na kauli zenye ukakasi kwa mh Waziri

Ukiona mtu badala ya kujenga hoja anajikita katika matusi Basi ujuwe Kuna tatizo mahali linalomsibu, maana mtu mstaarabu na muungwana lazima ajikite katika hoja bila matusi Wala ukakasi wa lugha hata Kama hamtakubaliana katika hoja,
 
Kazi gani anachapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…