zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Huu mfumo unaitwa 4-3-2-1Kila mmoja ale anachokilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mfumo unaitwa 4-3-2-1Kila mmoja ale anachokilisha.
Utajuaje kama ana njaaSuala la mtu kuwa mwanaume limefanywa kuwa complicated sana, kwanini mtu ana njaa asile na yeye?
Mtu kama huyo ukimkuta unamkwaa kwenzi la kichwa, tabia za kinafiki nafiki kama hizi ndio zimetuzalishia hawa wanaojiita machawa.
Kwa mujibu wa mleta mada.Utajuaje kama ana njaa
Wandewa huwajui wewe tyri wanakuwa wameshashindilia ugali wa dona na dagaa kazi inaenda pigika vizuri tuVijana wa kileo wamekwisha.. Watoto wa kike walishawazidi akili.. Na walivyo na roho mbaya anakula mpaka anamaliza na wewe kidume umekaa hapo.. Kutoka hapo mnaenda lodge.. Huyo mwanaume ataweza nini na njaa zake..??
Jamaa anakuwa ameshakula mihogo ya jero na maji pembeni. Being original is very difficult for the Boys of this generationNdiyo Wewe Mwanaume umnunulie Demu Chakula cha gharama kisha ukae Njaa na uwe unamtizama vile anavyokula?
huo ni mfumo wa 9-1-0..... Hakuna kupandishwa timu. Unakabia chini hakuna kushambulia.Unakuta Mwanaume anaenda na Demu katika Mghahawa halafu anamnunulia huyo Demu Chakula cha Gharama kubwa kisha Mwanamke ndiyo anakula na Yeye anamuangalia tu au anajifanya Kumpigisha Stori na Mwanaume huyo akiona Watu wanamuangalia anajifanya anamsaidia Demu wake Kula kwa Kumlisha au Kula Kidogo (lakini ukimuangalia kwa Macho yetu ya Kimedani) unamuona kabisa kuwa Jamaa ana Njaa na Kamnunulia Yule Demu Chakula kile kwa Sifa tu lakini Rohoni mwake anajilaumu kwani huenda hata Nauli ya Kuianza Siku yake ya Kesho hana.
Je, huu Mfumo unaitwaje na kwanini Ujitutumue mbele ya Demu wako kutafuta Sifa wakati unajua huna Uwezo huo?
(lakini ukimuangalia kwa Macho yetu ya Kimedani)
Ujinga wa watu ndio gharama sio mapenzi...Mapenzi ni gharama.
Tangu lini demu mshamba akakaza?Akukazae Kutwa.
💯✔️Ukitaka kumfurahisha mwanamke utaumia sana..
hahahahaaNasikia harufu ya watu kuchezea ban
Wataalamu wanasema tatizo la afya ya akili linakuwa kwa kasi sanaUnakuta Mwanaume anaenda na Demu katika Mghahawa halafu anamnunulia huyo Demu Chakula cha Gharama kubwa kisha Mwanamke ndiyo anakula na Yeye anamuangalia tu au anajifanya Kumpigisha Stori na Mwanaume huyo akiona Watu wanamuangalia anajifanya anamsaidia Demu wake Kula kwa Kumlisha au Kula Kidogo (lakini ukimuangalia kwa Macho yetu ya Kimedani) unamuona kabisa kuwa Jamaa ana Njaa na Kamnunulia Yule Demu Chakula kile kwa Sifa tu lakini Rohoni mwake anajilaumu kwani huenda hata Nauli ya Kuianza Siku yake ya Kesho hana.
Je, huu Mfumo unaitwaje na kwanini Ujitutumue mbele ya Demu wako kutafuta Sifa wakati unajua huna Uwezo huo?