Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unampeleka demu akale wakati anatoka kwao kwanini hakula?Unakuta Mwanaume anaenda na Demu katika Mghahawa halafu anamnunulia huyo Demu Chakula cha Gharama kubwa kisha Mwanamke ndiyo anakula na Yeye anamuangalia tu au anajifanya Kumpigisha Stori na Mwanaume huyo akiona Watu wanamuangalia anajifanya anamsaidia Demu wake Kula kwa Kumlisha au Kula Kidogo (lakini ukimuangalia kwa Macho yetu ya Kimedani) unamuona kabisa kuwa Jamaa ana Njaa na Kamnunulia Yule Demu Chakula kile kwa Sifa tu lakini Rohoni mwake anajilaumu kwani huenda hata Nauli ya Kuianza Siku yake ya Kesho hana.
Je, huu Mfumo unaitwaje na kwanini Ujitutumue mbele ya Demu wako kutafuta Sifa wakati unajua huna Uwezo huo?
Kama kanguchiroAlafu na demu alivyo na njaa anafuta msosi wote
Pep na vijana wake wa man city wanaita dark artshuo ni mfumo wa 9-1-0..... Hakuna kupandishwa timu. Unakabia chini hakuna kushambulia.
Na mpaka 'Nyuma' pita kama Wakali wa Michezo hiyo tuwafanyiavyo.Kitu wanaume wanaihangaikia sana wenyewe wanawake wala hawakithamini,mwanaume ukiipata ichape hasa na wala usiihurumie
Ndiyo mkuuNdiyo Wewe Mwanaume umnunulie Demu Chakula cha gharama kisha ukae Njaa na uwe unamtizama vile anavyokula?