Huu ndio mswaki unaotumika sana hapa Tanzania na Watanzania wengi

Mimi kuuacha huo mswaki ni mpaka hizo nyuzi ziwe kama zimepitishwa kwenye moto. πŸ˜…
 
Achana na huo mswaki kwanza, hicho chumba ni kichafu UTI nje njee,ptuu acheni usela mavi safisha geto ilo.
 
Wewe,kwa nini haujui kiswahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…