Huu Ujumbe kutoka kwa kiongozi huyu Mkubwa wa Kiislamu kuhusu wanawake. Umenishtua sana

Huu Ujumbe kutoka kwa kiongozi huyu Mkubwa wa Kiislamu kuhusu wanawake. Umenishtua sana

Kwa hiyo ukiona ndevu na kanzu tayari ni muislam?huyo anaajenda yake kama ww hapo kuuchafua uislamu sahihi.
Shida ni moja tu mliyo nayo waislamu ni wanafiki sana. muumini mwenzenu akisema vzr kuhusu Allah basi ataungwa mkono na kumtukuza ni muislamu wa kweli.Akipiga kwenye mshono mna mkana na kusema huyu sie mwenzetu. mlianza mkamkataa Dr sule majuzi tumeona clip ya Dr mazinge akinadi maji ya upako na kuwaambia waislamu watumie na wanunue mmemkana hadharani kuwa huyu anabiashara zake na hatumtambui mwingine kauza mafuta mkono ya upako mmemkataa. sasa imefika wakati wenzenu wameunga ushoga tene kwa maandamano makubwa huko UK mme wakataa lakini kipindi makanisa yanabadirishwa kuwa misikiti mliwaunga mkono na kushangilia lla kwa hili mnasema sio wenzenu! Sisi wakina mwampsa hatujai wakataa mbali tumeshawabatiza jina la wajasriamali wa dini,na mara zote huwa tuna wajinga ndo waliwao.

Ifike mahala sasa waislamu mtumie akili badala ya hisia zenu.
 
Wewe ni mgeni hapa jamiiforum!
Hawa mbona tumeshawazoea na Wala hakunaga shida.
Mtu anasema eti waislam wanaoa wake wengi hii huonesha wanawake hawana thamani..
Wakati huo huo yeye ni msukuma ambapo jamii yake alipotoka Kuna mafungu ya familia yaani familia ya baba mmoja Ina mafungu mafungu ..
Ibrahim baba wa Imani alikuwa na wake wangapi!
Yakuub/Yakobo alikuwa na watoto walitokana na wake wangapi!
Mfalme Daudi alikuwa na wake wangapi!
Sulayman alikuwa na wake wangapi!
Je mababu zetu walikuwa wanaoa wake wangapi kabla ya uislam na ukristo!
Kwamba bibilia ndo imekuja wafundisha watu waoe mke mmoja?
Wanyama tu hawawezi kuwa na jike mmoja Sasa wewe una akili unalimitiwa na maandiko ya kikundi Cha watu waliokaa wakaandika eti uoe mwanamke mmoja ..
Duh!..
 
Shehe alivyosema ndio Dini inavyosema.
Soma hapa jinsi mwanamke anavyofananishwa na mnyama.

Jami` at-Tirmidhi 338
Abu Dharr said that :
Allah's Messenger said: "When a man performs Salat, and there is nothing in front of him like the post of a saddle, or a camel saddle, then his Salat is severed by (passing of) a black dog, a woman, and a donkey." It was said to Abu Dharr: "What is the problem with the black dog rather than the red or white one?" He said: "O my nephew! I asked Allah's Messenger just as you have asked me. He said: 'The black dog is a Shaitan (devil).

Sasa hapo Shehe kakosea nini.
 
Shida ni moja tu mliyo nayo waislamu ni wanafiki sana. muumini mwenzenu akisema vzr kuhusu Allah basi ataungwa mkono na kumtukuza ni muislamu wa kweli.Akipiga kwenye mshono mna mkana na kusema huyu sie mwenzetu. mlianza mkamkataa Dr sule majuzi tumeona clip ya Dr mazinge akinadi maji ya upako na kuwaambia waislamu watumie na wanunue mmemkana hadharani kuwa huyu anabiashara zake na hatumtambui mwingine kauza mafuta mkono ya upako mmemkataa. sasa imefika wakati wenzenu wameunga ushoga tene kwa maandamano makubwa huko UK mme wakataa lakini kipindi makanisa yanabadirishwa kuwa misikiti mliwaunga mkono na kushangilia lla kwa hili mnasema sio wenzenu! Sisi wakina mwampsa hatujai wakataa mbali tumeshawabatiza jina la wajasriamali wa dini,na mara zote huwa tuna wajinga ndo waliwao.

Ifike mahala sasa waislamu mtumie akili badala ya hisia zenu.
Ndugu Pole na Kutatazika.

Lakini Hujafungua akili yako kufikiri zaidi ya Hapo.

Jee Mtu akifanya Vizuri tukamuunga mkono hiyo inamaanisha hata akifanya Uovu bado tuendelee Kumuunga Mkono??

Papa Francis Alivyosema Ataanza kubariki ndoa za Jinsia moja Wapo mapadri huku Afrika walikataa na kubaki na msimamo wao. Lakini katika mambo mengine bado wao ni watiifu na waungaji mkono wa Vatican.

Leo Mtu amekuwa muislamu mzuri tukamsifia kwaiyo baada ya miaka 5 akibadilika Tuendelee kumuunga mkono eti tusipofanya Hivyo ni Unafiki are You serious??

Pia hiyo Hoja ya Waislamu wa UK sijui kuunga mkono ushoga Ulitaka Tuwaunge Mkono hata kama Sheria ya Uislamu imepinga Vikali sana Suala hilo.

Huenda Kundi tuliloliunga mkono awali ni lengine na Hili lililokuja Kufanya Uovu ni lengine so Tukisema hao wanapotosha Uislamu sahihi kosa liko wapi???
 
Hao wote waliipotosha Quran
Mtume alikuwa Kipenzi chake ni Abubakari. Na ndiye aliyehama nae kutoka makka kwenda Madina.

Vipi Allah amchagulie Rafiki Muovu kama Abubakari Mtume Wake Mtukufu.

Kwanza Unakubali Utume wa Muhammad??
 
Hivi
Ndugu Pole na Kutatazika.

Lakini Hujafungua akili yako kufikiri zaidi ya Hapo.

Jee Mtu akifanya Vizuri tukamuunga mkono hiyo inamaanisha hata akifanya Uovu bado tuendelee Kumuunga Mkono??

Papa Francis Alivyosema Ataanza kubariki ndoa za Jinsia moja Wapo mapadri huku Afrika walikataa na kubaki na msimamo wao. Lakini katika mambo mengine bado wao ni watiifu na waungaji mkono wa Vatican.

Leo Mtu amekuwa muislamu mzuri tukamsifia kwaiyo baada ya miaka 5 akibadilika Tuendelee kumuunga mkono eti tusipofanya Hivyo ni Unafiki are You serious??

Pia hiyo Hoja ya Waislamu wa UK sijui kuunga mkono ushoga Ulitaka Tuwaunge Mkono hata kama Sheria ya Uislamu imepinga Vikali sana Suala hilo.

Huenda Kundi tuliloliunga mkono awali ni lengine na Hili lililokuja Kufanya Uovu ni lengine so Tukisema hao wanapotosha Uislamu sahihi kosa liko wapi???
Hivi unaelewa kumkataa na kutokumuunga mkono? Ninyi Huwa mnawakataa nakusema Hawa sio wenzetu Tena mnaenda Bali zaidi na kusema hamuwajui hii ndo Ina wafanya mwe wanafiki wakitupwa! Kwani mlisema ni wenzetu ila wamekengeuka nani atawakaba Koo?

Huyu hapa naye mnamkataa Tena kisa kasema wanawake ni kama ng'ombe ama farasi nk 😹😹

Sisi papa tulikili kasema na tukasema ni yeye ila sisi hatuwezi fanya hayo.

Wakina mwamposa tunakili ni wakristo na wanawaibia wajinga wajinga. Haipo siku tumewakana kuwa Hawa sio wenzetu. Tumieni akili.
 
Wewe ni mpumbavu huwezi kufananisha dini ya kweli na dini ya uongo, hamna hoja ispokua kuupaka matope
Mtang'aka sana! Na sisi ndiyo tunazidi kufukunyua uozo wa kaallah shetani kenu, pedophile Mohammad na mamuhallah wenu, ambao wanahalalisha kufanya ngono na wanyama

Screenshot_20231124-085329.png
 
Hivi

Hivi unaelewa kumkataa na kutokumuunga mkono? Ninyi Huwa mnawakataa nakusema Hawa sio wenzetu Tena mnaenda Bali zaidi na kusema hamuwajui hii ndo Ina wafanya mwe wanafiki wakitupwa! Kwani mlisema ni wenzetu ila wamekengeuka nani atawakaba Koo?

Huyu hapa naye mnamkataa Tena kisa kasema wanawake ni kama ng'ombe ama farasi nk 😹😹

Sisi papa tulikili kasema na tukasema ni yeye ila sisi hatuwezi fanya hayo.

Wakina mwamposa tunakili ni wakristo na wanawaibia wajinga wajinga. Haipo siku tumewakana kuwa Hawa sio wenzetu. Tumieni akili.
Wewe bado ni kama Watu wengine humu JF ambao huzisema Dini za Wengine bila Uadilifu.

Umezungumzia kina Mazinge sijui Dr.sule kisha unakuja Kuhusianisha na Huyo Mwarabu.

Sasa jee Tuliyemuunga mkono ndio huyo huyo tuliyesema Sio Mwenzetu??
 
Wewe bado ni kama Watu wengine humu JF ambao huzisema Dini za Wengine bila Uadilifu.

Umezungumzia kina Mazinge sijui Dr.sule kisha unakuja Kuhusianisha na Huyo Mwarabu.

Sasa jee Tuliyemuunga mkono ndio huyo huyo tuliyesema Sio Mwenzetu??
Kwahiyo akiwa mwaarabu hahusiani?
 
Wewe bado ni kama Watu wengine humu JF ambao huzisema Dini za Wengine bila Uadilifu.

Umezungumzia kina Mazinge sijui Dr.sule kisha unakuja Kuhusianisha na Huyo Mwarabu.

Sasa jee Tuliyemuunga mkono ndio huyo huyo tuliyesema Sio Mwenzetu??
Kwahiyo akiwa mwaarabu hahusiani?
 
Kwahiyo akiwa mwaarabu hahusiani?
Unahusisha Watu tofauti tofauti kisha unasema Sisi ni wanafiki wakati yule tuliyemuunga Mkono sio yule Tunaesema Sio wa Kwetu.

Ili ujenge hoja Ulitakiwa Ulete mfano wa Mtu ambae tulimkubali mwanzo kisha Mtu huyo huyo tukaja Kumkataa baadae.

Na utofautishe kati ya Kumkataa Na kumkosoa.
 
Back
Top Bottom