Huu Ujumbe kutoka kwa kiongozi huyu Mkubwa wa Kiislamu kuhusu wanawake. Umenishtua sana

Gentleman,
nadhani kuna umuhimu mkubwa na WA kipekee sana unahitajika dhidi ya elimu ya kutosha dhidi ya Artificial Intelligence, vinginevyo ikiachwa hivi ilivyo,

mafarakano, migawanyiko, uhasama na hasira ya jamii moja au dini moja au taifa moja kupigana wao kwa wao ama kuingia vitani ni rahisi sana.

majuzi niliona pia artificial intelligence video ya Joe Biden na Trump wakizungumzia kuhusu Biden kuja kuishi Zanzibar n.k🐒

sitaki kusema chochote kuhusu kiongozi huyo ya dini na hizo tafsiri na nukuu za hao wangwana 🐒
 
Tuseme Shia wako mbali na uislam (makafir) Vipi Taleban wa Afghanistan na wao ni Shia pia?!
Maana wao wamefanya kwa vitendo kabisa kukandamiza wanawake
 
Here i am.
MAisha yangu nimechepuka mara 8 tu katika miaka 15 ya ndoa.
Sijawah kuwa na uhusiano hata hizo mara 8 nilinunua.
Nikaonaga ujinga tu nikaacha na huu ni mwaka wa pil sasa nimekaa njia kuu
Dah! Hongera sana mkuu nikweli hayo mambo huwa yanapoteza tu focus na hasara ni nyingi kuliko faida ila sasa kuvikwepa viunzi ndio changamoto ilipo.
 
Watu bwana kwa kushadadia mambo bila kufanya utafiti

SHukran boss kwa kuweka record sawa
 
Mtume ndo alionesha mfano zaidi. Akaenda oa kitoto cha miaka 6
Kaoa Ki toto cha miaka 6 , kamuoa mama yako, mzazi ndiye aliyeamua wewe mpumbavu mmoja roho ina tatalika, nyie ni wa pumbavu tu, mki unga unga hoja zenu kisha ziki jibiwa huwa mna tafuta ngao
 
Huyo ni kitukuu cha mtume sasa wewe unabisha km nani?
Kitukuu cha mtume ndio nini?, sisi sote ni vitukuu wa mtume, hayo maneno kayapa wapi?, mtume aliyasema hayo?, wewe ni mjinga na huyo ktk clipe ni mpumbavu tu
 
Si mtume huyohuyo akiyemtumia mnyama wa miaka 9 tu kama kiburudisho!? Au mtume yupi unayemzungumzia!?
Kwani huyo Mtoto wa miaka 9 nani yako?, ikiwa baba yake kamuozesha kwa mtume, wewe unaumia nini?, mbona nyie hamna akili
 
Uislam uaelekeza hayo anayofundisha, kama kuna Uislam una maelekezo tofauti na huyo, huo siyo Uislam labda ni Uislam wa Magharibi
We ni chizi chizi chizi pro, hicho kichwa chako ni cha kufugia nywele, uislamu sio ukristo eti useme nimeamka na upako wa kufufua wafu kisha waumini wanapiga makofi, wewe ni mpumbavu kama huyo ktk clip
Kama kitu hakipo ktk Quran, mtume hajafanya wala kusema, maswahaba hawajasema wala kushudia, wewe una nia gani na uislamu?,
 
Haya maswali unamuuliza mleta uzi au Ayatollah? Mleta uzi yeye ni MJUMBE tu na mjumbe hauawi
Kama mleta uzi ni mjumbe sasa wewe nani?, au ni mke wa mjumbe, nimemuuliza maswali aliyopaswa kuwa na majibu kabla ya kuleta uongo wake hapa
 
Kaoa Ki toto cha miaka 6 , kamuoa mama yako, mzazi ndiye aliyeamua wewe mpumbavu mmoja roho ina tatalika, nyie ni wa pumbavu tu, mki unga unga hoja zenu kisha ziki jibiwa huwa mna tafuta ngao
Mbona unatokwa sana na povu,kitoto Aisha alianza kukibaka kikiwa na umri gani?miaka 9 anakilazimisha kuingiza uume. Muddy ni shetan na ndo baba wa wabaki na walawiti duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…