Wewe hakika ni punguani.
Kitu kikishawekwa kwenye mkataba, wahusika wa kwenye mkataba, yeyote miongoni, akiwa na dhamura mbaya, akitaka anaweza kupuuza kufuatilia kipengere fulani ili wewe uhadaike. Siku akitaka kukufix, atafanya hivyo bila shida kwa kuutumia mkataba ambao wewe uliusaini.
Ungekuwa na akiki lapo kidogo ungejiuliza kwa nini waarabu hawataki kuviondoa hivyo vipengere tata kwenye IGA.
Fuatilia uone yaliyowatokea Dgibout, ambao wameamriwa na mahakama kuwalipa DPW zaidi ya dola milioni 700.
Kama DPW hawana dhamira mbaya, waambie waondoe hivyo vipengere kwenye IGA, uone kama watakubali. Pamoja na kila mwenye akili na weledi, kuanzia chama cha wanasheria Tanganyika mpaka wasomi wabobezi, kulaani vipengere hivyo, waarabu wamegoma kabisa kubadilisha badala yake wakaendelea na vikao vya siri na watawala ili kukubaluana namna ya kuwapumbaza Watanganyika, lakini siyo kubadilisha kipengere chochote.