Huu Utitiri wa Maofisa wa Serikali kwenda Hanang, Wanaenda Kufanya Uokoaji au Kuonekana?


Wanapunguza matumizi kama Prof Kitila alivyosema.
 
Mbowe na kina Lema huwa wanapanda punda?
 
Kumekuwa na Call-outs na Shaming threads kibao sasa kuhusu response ya Serikali na janga hili. Sioni hata moja linalosema tushikamane tusaidiane, bali tunakashifiana kwa kufanya mlinganisho na Utopian societies.

Aahaaaa😏 ndio ilikuwa my initial reaction kwa kweli, si umeona posti eh?
😁😁😁😁😁😁
 
Watanzania ni wazee wa kulalamika ,ulitaka waende kartesh na punda au v8 linaweza kuzuia natural disasters like flood. Jamani vijana tunashindwa wapi kufikiri. Je, viongozi wasipoende kuwafariji ndugu zetu napo mtasema serikali imekaa dodoma wameshindwa kwenda kuona wahangaa .
 
Huhitaji kuuliza mkasi kwa kinyozi,au visu na viwembe kwa ngariba,au kilinge na tunguri kwa mganga🤣
 
Elewa mantiki ya Uzi acha kukurupuka kama chawa
 
Waziri mkuu alitua na chopa pamoja na mawaziri umbali wa mita miatatu wakafuatwa na msafara Kila mmoja na gari lake...what a shame
Kuna nchi Mawaziri wakuu na hata Maraisi huwa ina wachukua wiki mbili tatu mpaka mwezi wafike kwenye majanga.

Leo Waziri mkuu na viongozi wengine wa Serikali yetu Watanzania wamefika huko, tuna washame?

...kwa lengo gani? Kuna tija yeyote inatarajiwa kutokea na ukashifu wa aina hii Au ndio Uhanarakati huo?
 
kwanza wote hao wanaenda kufanya nn huko????
 
Picha hiko wapi? Umbeya!
 
Sasa wakishaenda na hizo V8 na Chopper ndo watazuia yale mafuriko? Kweli kuna ujinga mwingi sana, hapo ni sawa na wameenda kutalii hakuna suluhu yeyote kwasababu hayo mafuriko hayafai kuzuia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…