Huyaa Dr
JF-Expert Member
- Jan 12, 2023
- 312
- 874
Nenda shule we poyoyo hiko wapi ndo wapiPicha hiko wapi? Umbeya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda shule we poyoyo hiko wapi ndo wapiPicha hiko wapi? Umbeya!
Acha mantiki za kishamba wewe unafikiri gari linaweza kuzuia janga kama hilo, na ulitaka waje kuwaona watanzania wenzao kwa punda. Yaani ufikiri kitendezi watu wachangia na ujinga. Unajua ofisi ya waziri mkuu majukumu yake, kweli ?. Vijana fikra mgando na zitazidi kugandaElewa mantiki ya Uzi acha kukurupuka kama chawa
Mafuta kwa siku lazima watumbue kama 5b za mafuta na perdiemWadau nimetizama msafara wa mawaziri, manaibu,Makatibu wakuu,wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama,wakuu wa mikoa mbalimbali,wakuu wa wilaya mkoa Manyara..... na wengine wengi.Ni kufuru mav8 yote hayo wakati wangeweza kupanda luxury bus Moja ama mbili the rest wakasaidia wahanga.Mungu turehemu waja wako....Tanzania bila ccm inawezekana.
Unajiona na ww umejibu kituWatanzania ni wazee wa kulalamika ,ulitaka waende kartesh na punda au v8 linaweza kuzuia natural disasters like flood. Jamani vijana tunashindwa wapi kufikiri. Je, viongozi wasipoende kuwafariji ndugu zetu napo mtasema serikali imekaa dodoma wameshindwa kwenda kuona wahangaa .
Viongozi wa Africa walipandishwa basi walipoenda UK kwenye mazishi waAfrica waliponda sana!Wadau nimetizama msafara wa mawaziri, manaibu,Makatibu wakuu,wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama,wakuu wa mikoa mbalimbali,wakuu wa wilaya mkoa Manyara..... na wengine wengi.Ni kufuru mav8 yote hayo wakati wangeweza kupanda luxury bus Moja ama mbili the rest wakasaidia wahanga.Mungu turehemu waja wako....Tanzania bila ccm inawezekana.
Mmh mbona tunaona watembea maeneo yenye tope na boots?Yanapita kwenye lami tu hii mijamaa ya ovyo,hawashuki kwenye ma v8 wanawaagiza tu vijana wa jw "try there or there" na viingereza vyao kumbe majizi...in musukamas voice
Ngoja nimsaidie mwanzisha siredi.Watanzania ni wazee wa kulalamika ,ulitaka waende kartesh na punda au v8 linaweza kuzuia natural disasters like flood. Jamani vijana tunashindwa wapi kufikiri. Je, viongozi wasipoende kuwafariji ndugu zetu napo mtasema serikali imekaa dodoma wameshindwa kwenda kuona wahangaa .
HAPANA!Wengi wenu hampajui hanang' na hamjawahi kufika huko katesh ndio maana mnaropoka baada ya kushiba kande zenu!! Yaani mnataka viongozi wa dola wapande daladala iwapitishe ktk milima ya mbulu hivi mko sawa kweli?
Halafu utakuta wote wakifika huko wanaangalia tu hakuna anayeshika hata beleshi!Wadau nimetizama msafara wa Mawaziri, Manaibu, Makatibu wakuu, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wakuu wa mikoa mbalimbali, wakuu wa wilaya mkoa Manyara na wengine wengi.
Ni kufuru mav8 yote hayo wakati wangeweza kupanda luxury bus Moja ama mbili the rest wakasaidia wahanga.
Mungu turehemu waja wako. Tanzania bila CCM inawezekana.