Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Wewe jamaa hapana kwakweli ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
Usicheke mkuu nliachwa na mwanamke mara ya kwanza npo la pili

Asha aliniacha kisa kapewa maandazi mawili na John sijawahi sahau mpaka leo ๐Ÿ˜‚ wanawake matatizo mmeanza zaman sana

But I was extremely intelligent maybe sababu la tatu sijasoma la saba pia nliruka
 
Bangi sidhani,, labda kama kapata demu๐Ÿ˜Š
Demu kumkalisha hadi usiku au kutwa nzima sidhani.

Madogo wakianza kuvuta bangi wakati mwingine huchukua muda kuja kujua

Mmea unaweza kumfanya mtu awe cool au awe ana overconfidence au hasira za harakaharaka
 
Usicheke mkuu nliachwa na mwanamke mara ya kwanza npo la pili

Asha aliniacha kisa kapewa maandazi mawili na John sijawahi sahau mpaka leo ๐Ÿ˜‚ wanawake matatizo mmeanza zaman sana

But I was extremely intelligent maybe sababu la tatu sijasoma la saba pia nliruka
Haya bhana๐Ÿ˜ƒ
 
Anasubiri kwenda form5 mwezi ujao๐Ÿ˜ƒ
ni kawaida hiyo, hasa kwa wavulana kuchukia nyumbani

mi mwenyewe nina miaka karibia 3 saivi nakwepa nyumbani, unajisogeza pembeni, unataka kujitegemea

hivo vidonge ndo naona ni tatizo, fatilieni hapo
 
ni kawaida hiyo, hasa kwa wavulana kuchukia nyumbani

mi mwenyewe nina miaka karibia 3 saivi nakwepa nyumbani, unajisogeza pembeni, unataka kujitegemea

hivo vidonge ndo naona ni tatizo, fatilieni hapo
Kwakweli itabidi tufatilie,, naumia sana kumwona mama anakosa amani kwajili yake yani๐Ÿ˜”
 
Mbona unanitisha mkuu๐Ÿฅน,,, kwamba ameshaanza Kufanya mapenzi ๐Ÿค”, mbona bado mdogo jamani ๐Ÿฅน๐Ÿฅน
Miaka 17 mdogo? Huyu si yuko secondary kabisa tena obviously ni form 3 mpk 4 anajua tuvitu tuchache
 
Mnacare sana mnamchukulia km mtoto inakera sana hiyo.. kumuuliza uliza, vp mbona upo kimya? Mbona hujala? Vip mbona umelala tu? Hivi vimaswali vinakera sana hasa kwa mtoto wa kiume.

Mwacheni, mwambien ukirudi chakula kitakuwa pale usisahau kula basi, ipite wiki nzima msimuhoji hoji maswali yenu ya kike kike.

Mzee amesema mwacheni ina maana yake hiyo, km ni ushauri, mshaurin kwa maneno machache then mpeni nafasi achague mwenyewe nin cha kufanya.

Acheni kumfuatilia fuatilia, MWACHENI
Sawa,, kama ndo itasaidia kubadilika tutamwacha kama anavyosena yeye mwenyewe..japo sio rahisi hivyo kama unavyofikiria mkuu
 
Mnacare sana mnamchukulia km mtoto inakera sana hiyo.. kumuuliza uliza, vp mbona upo kimya? Mbona hujala? Vip mbona umelala tu? Hivi vimaswali vinakera sana hasa kwa mtoto wa kiume.

Mwacheni, mwambien ukirudi chakula kitakuwa pale usisahau kula basi, ipite wiki nzima msimuhoji hoji maswali yenu ya kike kike.

Mzee amesema mwacheni ina maana yake hiyo, km ni ushauri, mshaurin kwa maneno machache then mpeni nafasi achague mwenyewe nin cha kufanya.

Acheni kumfuatilia fuatilia, MWACHENI
mtoto wa miaka 17 unasema wamwache???
 
Ni Dawa gani mlimkuta nazo ? isijekuwa PEP na zinamletea mauza uza
 
Haya bhana[emoji2]
Mkuu usicheke haya mambo nayaelewa sana usije sema eti mdogo wako ni mtakatifu hafanyi jambo moja wasilojua wazazi ni kwamba asilimia kubwa hatukai na watoto

Nakupa mfano wa mwisho mimi nkiwa darasa la nne house boy na dereva wa gari za mzee walikua wanatumia unga na bangi off course walikua wanaficha but due to my curiosity nkajaribu na mimi kuvuta unga kilichotokea Mungu ndie anajua [emoji23][emoji23]

It was for a one day but this is just An example watoto wanapitia mengi sana na ni kundi lililo neglected kuliko kundi lolote lile kwenye jamee
Kundi la adolescents
 
Cha kwanza ni barehe
Cha pili huw unaingia chumban kwa mdogo wako wa Miak 17 kumfanyia usafi (mtoto wa kiume akifk 11 anasimamiwa afanye usaf geto kwake peke ake au alete demu wake akifk 15 had 17 hurusiw kuingia kizembe chumban kwa mtoto wa kiume labda Baba tuu na mama kwa tahadhar

Huyo mlilea kama bata huwa anawez ishi nyumbn siku zote ILA siku akipaaa kurud nyumbn NI majariwa,

ILA kama anatoka anaend fanya mambo yake ya kiume muachen lakn pia wakumuwek Sawa vzr ni mshua wako
Sawa, Asante kwa ushauri mkuu ๐Ÿ™๐Ÿผ
 
Sawa,, kama ndo itasaidia kubadilika tutamwacha kama anavyosena yeye mwenyewe
Kuna mdogo wangu aliwahi toweka hom hivyo hivyo, mama alikuwa anamcare sana , akifunga mlango wa chumbani kwake anakula mziki na earphones, utakuta mama anagonga mlango hasikii, anakuja kufungua mama analalamika sana yaani, akiwa hata anakula akaacha msosi, bi mkubwa atataka kujua kwanin ameacha, mara kwanin analala..

Mwishowe dogo akawa anaenda mabanda umiza kucheck mpira au movie tu anapakimbia hom kwa sababu ya maswali maswali.

Nyie mwachen, endeleeni kumpenda na kumuacha, ushauri wa maneno machache na sio kila siku. Anatoka hom kwasababu ya kero zenu za ushauri ushauri kila saa, muda mwingine mtaniane tu, maisha yaende.
 
Back
Top Bottom