Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote 🙏🏼
advantage ni kwamba tunaishi tz tuna uhuru wa kuwafanya watoto wetu tutakacho... piga huyo hadi aseme... tafuta askari 1 ampige bila huruma... ila sio kichwani mbona atasema tuu... hamjaweka jitihada tuu tafuta mtu amfatilie mtajua anakoshinda... hizo dawa mlishiundwa hata ku google mjue zinatibu nin? kijana wa miaka 17 bado mdogo mkifanya masihara mtampoteza.... dunia ya sasa inambo mazito sana
 
Sema nini mnawatesa sana hao watoto kwa njaa, jua kali, kiu na hatari juu ya maisha yao.
Mtoto wa kiume shupavu kalelewa kwa njia hiyo..

Ukishazaliwa mwanamme tayari ushanunua vita toka unazaliwa.. Sasa kijana wa miaka 17 kalelewa kimayai mayai hata wanaume wenzake hawamuogopi kwann wasimbandue???

Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
 
Yeah muachen atabadilika mwenyewe ni hali ya muda mfupi ndiyo maana mzee kasema mwacheni anajua vzr ni hali inayotupata sana watoto wakiume tukifikia hiyo age
Cha msingi mweken karibu na nyie bas msimtenge kama ana demu mwambie awe free tena muulize hivi wifi yangu yupo wapi??
Mchokoze kishikaji atakuwa huru sana zile hormone zinatutesa mnooo

Atakuwa sawa baada ya muda

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sawasawa,, nimekuelewa mkuu 😊
 
Mmmm 🤔,, kwamba amepata demu ndo anamchanganya au
Sio demu tu anaweza kuwa kapata limama pia linamzuzua. Sasa kwa ushauri lazima apatikane male figure ambaye ataweza kuongea naye kama kijana mwenzie mtapata taarifa nyingi zaidi
 
Am sorry to tell you this, Kijana wenu amelawitiwa kiufupi amekuww shoga..( ur father knows what is going on and probably yeye ndio kaanza kumfanyiq) fanyia uchunguzi eneo hili utakuja kunishukuru nipo nimekaa pale
 
17 mdogo ? We umeanza lini kubanduliwa ulikua na miaka mingapi kipindi unaanza? maana najua kwa sasa unachezea miaka 21, kale kajamaa kalikubandua ukiwa na miaka mingapi?
Tufocus kwenye kumshauri dogo kwanza mkuu😃😃
 
Cha kwanza ni barehe
Cha pili huw unaingia chumban kwa mdogo wako wa Miak 17 kumfanyia usafi (mtoto wa kiume akifk 11 anasimamiwa afanye usaf geto kwake peke ake au alete demu wake akifk 15 had 17 hurusiw kuingia kizembe chumban kwa mtoto wa kiume labda Baba tuu na mama kwa tahadhar

Huyo mlilea kama bata huwa anawez ishi nyumbn siku zote ILA siku akipaaa kurud nyumbn NI majariwa,

ILA kama anatoka anaend fanya mambo yake ya kiume muachen lakn pia wakumuwek Sawa vzr ni mshua wako
 
Tumieni approach nzuri nadhani atawaeleza kinachomkumba.Mshauri mama amualike mjomba wenu mmoja ama wawili waje wakae na kijana wamshauri nadhani atawasikiliza.

Nyie amewazoea Sana ndo maana anachukulia poa tu.
Sawa Asante kwa ushauri
 
Hakuna Cha mwenye busara huyo atakaa sawa mwenyewe it's a matter of time, au mwambie watafute kademu wamuunganishe nae kawe kanamriwadha awe anakabandua basi funika kombe mwanaharamu apite, sasa hivi anawaza kubandua watoto wa kike tu hapo ndio mafaili yaliyojaa kichwani kwake plus huko anakoenda anacheck pornography ndio kwisha habari
Kazi kwelikweli 🤦‍♀️
 
Mnacare sana mnamchukulia km mtoto inakera sana hiyo.. kumuuliza uliza, vp mbona upo kimya? Mbona hujala? Vip mbona umelala tu? Hivi vimaswali vinakera sana hasa kwa mtoto wa kiume.

Mwacheni, mwambien ukirudi chakula kitakuwa pale usisahau kula basi, ipite wiki nzima msimuhoji hoji maswali yenu ya kike kike.

Mzee amesema mwacheni ina maana yake hiyo, km ni ushauri, mshaurin kwa maneno machache then mpeni nafasi achague mwenyewe nin cha kufanya.

Acheni kumfuatilia fuatilia, MWACHENI
 
Huyo inaonekana kalambishwa asali,atakuwa na jimama,na huo ugonjwa labda gono lilimkumba

Dawa yake ilitakiwa mumkodi mtu amfuatilie huko anakoendaga ndiyo mtaupata ukweli

Angekuwa anavuta bangi msingemkuta na dawa za kunywa, ingawa huo ni ushauli wangu tu
Sawa, Asante kwa ushauri mkuu 🙏🏼
 
Back
Top Bottom