Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Usicheke mkuu nliachwa na mwanamke mara ya kwanza npo la piliWewe jamaa hapana kwakweli ππππ
Demu kumkalisha hadi usiku au kutwa nzima sidhani.Bangi sidhani,, labda kama kapata demuπ
Haya bhanaπUsicheke mkuu nliachwa na mwanamke mara ya kwanza npo la pili
Asha aliniacha kisa kapewa maandazi mawili na John sijawahi sahau mpaka leo π wanawake matatizo mmeanza zaman sana
But I was extremely intelligent maybe sababu la tatu sijasoma la saba pia nliruka
AiseeHapana,, dogo ni anafoka ile kwa hasira kabisa kama mmemuudhi kitu
Tutalifanyia uchunguzi na hilo piaπDemu kumkalisha hadi usiku au kutwa nzima sidhani.
Madogo wakianza kuvuta bangi wakati mwingine huchukua muda kuja kujua
Mmea unaweza kumfanya mtu awe cool au awe ana overconfidence au hasira za harakaharaka
ni kawaida hiyo, hasa kwa wavulana kuchukia nyumbaniAnasubiri kwenda form5 mwezi ujaoπ
Kwakweli itabidi tufatilie,, naumia sana kumwona mama anakosa amani kwajili yake yaniπni kawaida hiyo, hasa kwa wavulana kuchukia nyumbani
mi mwenyewe nina miaka karibia 3 saivi nakwepa nyumbani, unajisogeza pembeni, unataka kujitegemea
hivo vidonge ndo naona ni tatizo, fatilieni hapo
Serious kabisa inapaswa mjue tatizo ni nini kwa hali yoyote badae msije mkaanza kauli za tungejua tungeYani we acha tu mkuu...mama hana amani kabisa yani
Miaka 17 mdogo? Huyu si yuko secondary kabisa tena obviously ni form 3 mpk 4 anajua tuvitu tuchacheMbona unanitisha mkuuπ₯Ή,,, kwamba ameshaanza Kufanya mapenzi π€, mbona bado mdogo jamani π₯Ήπ₯Ή
Sawa,, kama ndo itasaidia kubadilika tutamwacha kama anavyosena yeye mwenyewe..japo sio rahisi hivyo kama unavyofikiria mkuuMnacare sana mnamchukulia km mtoto inakera sana hiyo.. kumuuliza uliza, vp mbona upo kimya? Mbona hujala? Vip mbona umelala tu? Hivi vimaswali vinakera sana hasa kwa mtoto wa kiume.
Mwacheni, mwambien ukirudi chakula kitakuwa pale usisahau kula basi, ipite wiki nzima msimuhoji hoji maswali yenu ya kike kike.
Mzee amesema mwacheni ina maana yake hiyo, km ni ushauri, mshaurin kwa maneno machache then mpeni nafasi achague mwenyewe nin cha kufanya.
Acheni kumfuatilia fuatilia, MWACHENI
mtoto wa miaka 17 unasema wamwache???Mnacare sana mnamchukulia km mtoto inakera sana hiyo.. kumuuliza uliza, vp mbona upo kimya? Mbona hujala? Vip mbona umelala tu? Hivi vimaswali vinakera sana hasa kwa mtoto wa kiume.
Mwacheni, mwambien ukirudi chakula kitakuwa pale usisahau kula basi, ipite wiki nzima msimuhoji hoji maswali yenu ya kike kike.
Mzee amesema mwacheni ina maana yake hiyo, km ni ushauri, mshaurin kwa maneno machache then mpeni nafasi achague mwenyewe nin cha kufanya.
Acheni kumfuatilia fuatilia, MWACHENI
Mkuu usicheke haya mambo nayaelewa sana usije sema eti mdogo wako ni mtakatifu hafanyi jambo moja wasilojua wazazi ni kwamba asilimia kubwa hatukai na watotoHaya bhana[emoji2]
Sawa, Asante kwa ushauri mkuu ππΌCha kwanza ni barehe
Cha pili huw unaingia chumban kwa mdogo wako wa Miak 17 kumfanyia usafi (mtoto wa kiume akifk 11 anasimamiwa afanye usaf geto kwake peke ake au alete demu wake akifk 15 had 17 hurusiw kuingia kizembe chumban kwa mtoto wa kiume labda Baba tuu na mama kwa tahadhar
Huyo mlilea kama bata huwa anawez ishi nyumbn siku zote ILA siku akipaaa kurud nyumbn NI majariwa,
ILA kama anatoka anaend fanya mambo yake ya kiume muachen lakn pia wakumuwek Sawa vzr ni mshua wako
Kuna mdogo wangu aliwahi toweka hom hivyo hivyo, mama alikuwa anamcare sana , akifunga mlango wa chumbani kwake anakula mziki na earphones, utakuta mama anagonga mlango hasikii, anakuja kufungua mama analalamika sana yaani, akiwa hata anakula akaacha msosi, bi mkubwa atataka kujua kwanin ameacha, mara kwanin analala..Sawa,, kama ndo itasaidia kubadilika tutamwacha kama anavyosena yeye mwenyewe
17 Mdogo?? mwanaume haachi uchiMbona unanitisha mkuuπ₯Ή,,, kwamba ameshaanza Kufanya mapenzi [emoji848], mbona bado mdogo jamani π₯Ήπ₯Ή