Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...
Hana tatizo muacheni aushi maisha yake.. yaan ni hivyo tu msimfanye km katoto hicho ndicho kinachomchukiza kwa hio mwacheni aishi anavyotaka
 
Kabisa mkuu......kama mnamhurumia au mnaogopa tafuteni polisi pay him amshikishe adabu huko anakochelewaga......amin amin nakuambia msipomshughulikia now hamtaweza tena later....nina uzoefu na hilo
Sawa Asante kwa ushauri
 

Umri huo asipopata mtu wa kumisimamia na kumuongoza ni hatari sana. Maisha yake yote yanawezaharibikia hapo

Jenga utafiki na ukaribu nae bila kumlazimisha akueleze shida zake. Ongea nae, mpe uhuru wa kutoa mawazo yake bila kumkatishakatisha, muonyeshe kwamba unamjali na una uwezo wa kumuelewa, mwache afanye mambo na umsikilize zaidi ya wewe kuongea...... utajua mengi
 
Dogo kaanza kuwa na misingi yake....

huyu asijekuwa anasoma vile vitabu vya GANGSTERZ
 
Hana tatizo muacheni aushi maisha yake.. yaan ni hivyo tu msimfanye km katoto hicho ndicho kinachomchukiza kwa hio mwacheni aishi anavyotaka
Sawa tutajaribu, ila ni uhakika kwamba tukimuacha kama alivyo ndo atabadilika?
 
Itabidi tufanye hivyo..shida ni nani sasa wakumpa hizo stiki maana baba naona kashajitoa hataki stress, mama ndo hawezi kabisa kuchapa mtu ,, labda police
Muache aishi maishi yake polisi kufanya nini? Wewe una miaka 21 yeye 17 mnapisha miaka 4 sasa shida ipo wapi kwani wewe huna anaekubandua nyinyi wanawake na watoto wa kike kufuatilia ndugu zenu wa kiume mnakuaje au unataka akubandue wewe?
 
Asante kwa ushauri wako pia mkuu...
 
Aisee poleni sana...
Najaribu kuimagine mama atakuwa na hali gani?
 
Sawa nitajaribu kufanya hivyo...shida ni kwamba hataki kuongea wala kumskiliza yeyote yule 🤔
 
Muongo mkubwa alafu unachokiandika hapa umemtukania baba yake mzazi huyu mleta mada kwa kumuita mfiraji Jambo ambalo huna ukweli nalo, acha upotoshaji kijana
 
Huu ushauri akiuona dogo, atakwambia uagize pepsi mahali atalipia na huu ndio ukweli.
 
Kwahiyo tumfanyaje ili akae sawa..au ndo tumuache tu atabadilika mwenyewe kama wengi wanavyosema🤔
Atabadirika mwenyewe kwani wewe ulizaliwa unatembea si ulianza kukaa au unataka aruke stage za ukuaji awe zuzu hapo nyumbani kwenu azeeke hapo hapo?
 
Muache aishi maishi yake polisi kufanya nini? Wewe una miaka 21 yeye 17 mnapisha miaka 4 sasa shida ipo wapi kwani wewe huna anaekubandua nyinyi wanawake na watoto wa kike kufuatilia ndugu zenu wa kiume mnakuaje au unataka akubandue wewe?
Jamani 😃😃😃, mbona unanifokea sasa🤨
 
ukiona mtoto ameanza kukujibu, jua kuna tabia mbaya ameanza kuifanya. na hapo sio kwamba tu anawezakuwa ana makundi mabaya, anaweza kuwa anavuta hadi bange, ndio maana haogopi. kwenye mabange ndiko kwenye mabasha na mashoga. haow avuta bange na unga wengi wakilewa huwa wanaingiliana wao kwa wao huko, kuweni makini. inakuwaje kijana wa umri huo anapotea asubuhi hadi jioni hamjui ameenda wapi? na ukimuuliza anajibu hivyo? au baba anajua wapi huwa anakuwa ameenda manake familia zingine huwa zinaoperate kiroho, si ukute kachawi bila ninyi kujua hako. watoto wengi tu wanaingiziwa uchawi na ushirikina kwa kupitia wenzao mashuleni nahuko wanakocheza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…