Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Huwa mnawashughulikiaje watoto wanaokuwa na tabia kama hii?

Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote 🙏🏼
Ni kama dalili ya bangi hivi

Nikuulize maswali mawili
1) ukikaa naye karibu anakuwa na wasiwasi?
2) anatania ya kutafuna vitu muda mwingi? Kama big jii , amekuwa na matumizi makubwa ya pesa?

Upande wa pili pia je marafiki zake wa sasa ni wa aina gani? Unapaswa kulijua hilo kama hujui tafuta mtu (men) afatilie ni muhimu saa ingine unaweza kuta ashaingia na makundi ya ajabu na ameanza kushiriki

Nilikuwa na dogo alitusumbua kumbe alikuwa anavuta bangi
Alikuwa mwoga Yani sio kuogopa watu Yani hataki kukaa na mtu karibu na hawezi kukuangalia machoni, aliongeza matumizi ya pesa baadae ikaja ikamzidi ndipo tulipojua
 
Ni kama dalili ya bangi hivi

Nikuulize maswali mawili
1) ukikaa naye karibu anakuwa na wasiwasi?
2) anatania ya kutafuna vitu muda mwingi? Kama big jii , amekuwa na matumizi makubwa ya pesa?

Upande wa pili pia je marafiki zake wa sasa ni wa aina gani? Unapaswa kulijua hilo kama hujui tafuta mtu (men) afatilie ni muhimu saa ingine unaweza kuta ashaingia na makundi ya ajabu na ameanza kushiriki

Nilikuwa na dogo alitusumbua kumbe alikuwa anavuta bangi
Alikuwa mwoga Yani sio kuogopa watu Yani hataki kukaa na mtu karibu na hawezi kukuangalia machoni, aliongeza matumizi ya pesa baadae ikaja ikamzidi ndipo tulipojua
Duuuh 🤔🤔,, tumenza kumfatilia mkuu,asante kwa ushauri mzurii 😊🙏🏼
 
Nyie mna kiherehere yeye hataki mambo yake mhusike nyie mnajikomba[emoji28][emoji1787]

Pigine buyu mpotezeeni kabisa siku yakimfika shingoni ndio chance yenu sana kumpa za uso
 
Nyie mna kiherehere yeye hataki mambo yake mhusike nyie mnajikomba[emoji28][emoji1787]

Pigine buyu mpotezeeni kabisa siku yakimfika shingoni ndio chance yenu sana kumpa za uso
Sawa😂😂
 
Habari wanajamvi...

Nina imani humu kuna wazazi ambao walishawahi kua na watoto wenye tabia kama hizi naombeni msaada wenu wa mawazo na ushauri unisaidie na mimi.

Binafsi nina mdogo wangu aliyenifuata wa kiume, ana miaka 17...huyu mdogo wangu alikua ni mpole Sanaa, akiwa nyumbani ni mtu wa kushinda ndani mda wote ni kusoma kula na kulala, mara chache sana unaweza kumkuta anaangalia movie hata marafiki zake ni mpaka waje nyumbani kutembelea ndo apige nao story bila hivyo hatoi mguu nyumbani labda aagizwe mahali..

Shida kwamba sikuizi( yani miezi hii hapa miwili) amebadilika sana hadi tunaogopa,, amekua ni mtu wa kuondoka nyumbani bila kuaga na akiondoka asubuhi harudi nyumbani msipompigia simu anaweza asionekane kabisa hadi usiku,, sometimes tukimpigia simu anaweza akapokea halafu akajibu kwa ukali kua tusimfatilie na maisha yake, hataki kula chakula nyumbani, amekua ni mtu wa kufokafoka tu mda wote hadi mama akimuuliza kitu anajibu kwa kufoka tu sio kama alivyokua zamani.

Saizi amefikia hatua kwenda kanisani pamoja na sisi hataki anasema tumuache., alikua anaumwa hakutoa taarifa mpaka anapona na hatuelewi alikua anaumwa nini yani tumefanya tu kustukia kumwona anakunywa dawa, kuna mda alivyoondoka mama akaingia chumbani kwake kukagua akakuta dawa nyingi sana, hata hatuelewi zinatibu ugonjwa gani., baada ya mama kumuuliza alikua mkali sana na ametupigia marufuku kuingia chumbani kwake hata kama ni kufanya usafi.

Ajabu ni kwamba tukimuelezea baba tabia za huyu dogo sikuizi wala hata hatilii maanani anasema tu muacheni kama alivyowaambia mumuache...hasa tatizo ni lipo kwa mama amekua na wasiwasi sana na mabadiliko ya huyu mdogo wangu yani pressure inampanda mda wote, akijaribu hata kukaa nae chini kuongea nae dogo hataki kumskiliza yeyote zaidi ni anakua mkali ukimsogelea jirani anaweza akupige makofi...

Naombeni msaada wenu wa mawazo ili niweze kumsaidia huyu mdogo wangu maana napata shida sana kumuona mama akiwa na wasiwasi mda wote 🙏🏼
Kuhusu hayo mambo mengi siwezi ongea chochote, ila kuhusu hizo dawa mlizokuta, ni kwamba huyo dogo alikuwa anajitibia gono.

Sasa mlitaka awaambieje kuwa anaumwa gono?
 
Kuhusu hayo mambo mengi siwezi ongea chochote, ila kuhusu hizo dawa mlizokuta, ni kwamba huyo dogo alikuwa anajitibia gono.

Sasa mlitaka awaambieje kuwa anaumwa gono?
Jamani 😳😳😳
 
Aisee,, mbona tatizo hilo sasa.unaweza kunigusia hivyo vitabia labda ili nipate pa kuanzia kumchunguza
sio rahisi kujua mkuu, ila amini kwamba hapo mtaani watu wanajua ila hawawezi kuwaambia kama msipowauliza ila wanangoja janga liwe kubwa ndo waseme sisi tuliona tu.

Kama anatoka na kurudi jioni lazima kuna watu wanamuona, kuna spies wa kujitegemea wanajua tu, kama una rafiki mtaa huo jaribu kumshirikisha uone maoni yake.
 
sio rahisi kujua mkuu, ila amini kwamba hapo mtaani watu wanajua ila hawawezi kuwaambia kama msipowauliza ila wanangoja janga liwe kubwa ndo waseme sisi tuliona tu.

Kama anatoka na kurudi jioni lazima kuna watu wanamuona, kuna spies wa kujitegemea wanajua tu, kama una rafiki mtaa huo jaribu kumshirikisha uone maoni yake.
Sawa nmekuelewa mkuu ntafanya hivyo...Asante kwa ushauri 😊🙏🏼
 
Pengine akija kusema familia itakuwa kama tikiti lilianguka sakafuni toka juu kabatini.
 
Back
Top Bottom