Huwa unafanya nini ukiwa na msongo wa mawazo na si mnywaji wa pombe?

NASOMA BIBLIA NIKISOMA TU NAJISIKIA TUMAINI KUBWA
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚acha ujinga kudanganya watu wazma, eti mtu una hasira unaanza kusoma? Kwanza akili inakuwa hata aijatulia unasoma nini kama doc unafki
Sasa ukifunua unafunua tu patakapoangukia ndio hapo hapoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ daah nchi ngumu hii
 
Naenda zangu beach kuoga nikiwa na kinywaji changu pendwa Mo xtra nikitoka zangu kuoga napoza koo/ kupiga story na wana napenda kuenjoy kusikiliza visanga vya wana nikiwa stressed nabak kufurahi tu,
Pia au nachukua zangu bike nakula misele nikiwa nawaza vitu mbalimbali kichwani nahis kuwa healed

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…