Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

Hilo halizuiliki na Wala sio ajabu duniani kote iko hivyo hata sisi tuna majasusi wengi Sana wako kwenye hizo inchi wanafanya yao na wengine Wana maduka kabisa kwa hiyo Hilo lisikuumize kichwa.hatuko kiboya Kama unavyofikiria
 
Wewe unafikiri mpaka umeyajua wewe idara zetu haiwajui haya hata ukimjua unamfanya nn?yuko na kifuniko
 
Dili za wakubwa hizi
 
UVCCM na ndugu zao CCM wako busy kuhakikisha 2025 tunatoboa tena.

tuendelee kuishi kwa historia ya 1978 enzi za vita za ukombozi tu, kukicha watakuwa pale posta na maeneo ya Seaview wanatuchora tu.
Na kutishia watu nyau. Ukiwakosoa tu, basi utawaona wanavyotokwa na macho. Wenzao wako bisy na vita ya kiuchumi, wao wako busy kutishia watu nyau.

Hovyo kabisa ccm na watoto wao uvccm.
 
Paul Kagame kwenye masuala ya ujasusi ni mbobevu sana, ameiva haswa kwenye taaluma hiyo. Siyo mtu wa kumchezea hovyo hovyo, kwenye nchi yetu ana 'watu wake wengi sana'. Nchi pekee ndani ya Afrika Mashariki ambayo anaihofia kwamba inaweza kumharibia maslahi yake ni Tanzania, ndio maana amewekeza sana katika kuifanyia ujasusi, nchi zingine zilizobaki watawala wa huko ni rafiki zake, kwa hiyo hana hofu nazo sana.
 
Mpeta Wana Kijiji Kabisa
 
Tz is very known compared to them all ila ni kwel TZ tuna viongozi wapumbavu haswaaaa
Ilikuwa juu sana. Lakini sasa ni kama yatima. Viongozi na watanzania wengi wanathamini zaidi ulaji na kujineemesha kibinafsi kuliko kujishughulisha na mustakabali wa taifa.

Huko nje ni wazee hasa wenye kumbukumbu za Nyerere ndio wanaikumbuka Tanzania na kuithamini. Vijana wengi duniani hawaijui - hata ilipo kijiografia; wanazifahamu vizuri zaidi Kenya, Zanzibar na Rwanda. Tembea, ulizia usikilize majibu. Utashangaa.
 
Unawasifia kurekodi sauti kwa kutumia software za wa Israel?
Mbona hiyo mitambo na software zipo hapa nchini siyo habari ya kificho.
 
Hata sisi watu wetu wengi wametapakaa kwenye hizo nchi, ni wajasiriamali, ni maderva taxi, ni Mama Ntilie nk..ni kawaida nchi kupelezana
 
Ishu huyo spy yuko ktk misheni gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…