Ashughulikiwe kwa sheria ipi?Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Kwa hiyo alikuwa anawaweka watembea kwa miguu? Ati hata akikukuta - yaani una maana mhubiri huyu alikuwa anabandika matangazo mwenyewe? Tusishiriki uovu mwepesi. Haya matangazo yanabandikwa na Watanzania wenyewe waliopewa kazi ya kusambaza.Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tender ya mabango ilikuwa kanzia Mlandizi mpaka Mbagala. Msela akala "payment in advance" . Akasubiri giza. Halafu: "Mission accomplished"!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni kweli fukara ndiye mlalamishi namba moja duniani, lakini wao ndio ws kwanza kukojolea kuta na kutupa taka hovyoMkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila kipindi cha uchaguzi na mabango yenu ya madiwani na wabunge na rais hainaga Shobo ni shega tu.huyo jamaa ametumia gharama kubwa kweli kwenye matangazo hayo....ila namna ya utangazaji wake ni uchafunzi wa mazingira..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna benk flan nimekuta wamebandika Hadi kwenye ATM machine
Kwa hiyo wewe unaona ni sawa mtu kufanya hv...he kila mtu akifanya hv unahisi itakuaje..Acha chuki za udini.mbona vyama wakati wa kampeni vinabandika na hakuna uzi unafungua.
Angalia chuki zenu za udini zilivyoua viwanja vya jangwani kwa kudhani mnakomoa
wanaofanya mikutano ya dini mkajenga gereji za mwendokasi sasa ni mwendo wa kuzoa tope kutwa kucha na mazalia ya nyoka kuongezeka.
Huwezi kushindana na muumba,maana kwake tumetoka na kwake sote tutarudi hata uwe na jeuri kiasi gani
Hahahha anachafua mazingira huyu ashuguulikiweMatangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Acha wivu mbona maandishi tena yasiyofutika ya mbowe sio gaidi na mwigulu rais 2015 yapo mengiMatangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Sio sawa hii MkuuKwa hiyo wewe unaona ni sawa mtu kufanya hv...he kila mtu akifanya hv unahisi itakuaje..View attachment 1945649
Na ya chair sio gaidiBado yale ya British School
Kama umekereka umeyaona na umejaribu kutuonyesha ulivyokereka kwa kufanya hivyo umetuonyesha nasi pia- Lengo la Mchungaji limefanikiwa. Asante kwa masaada wako- kifuatacho usiache kwenda kwenye mahubiri.Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Kaa enzi za mzee Punch pale UDSM!Mpaka kwenye magari yamebandikwa.