Asante nimewasilisha tayari.πππππ Nilikuwa nataka niwambie kuhusu Mbeya, asante kwa maelezo mazuri.
Kuna mtaa ambao hauna mabango?
Itabidi nihudhurieView attachment 1950826View attachment 1950827
Ndio[emoji23]korogwe hapo
Na kwa taarifa yake tu ni kwamba bonke ni bingwa wa matangazo Dunia nzima. Alibandika matangazo India Kila Kona ya India na mengine alikua akikuona umesimama anakubandika usoniBila shaka haya matangazo yamelipiwa maana yapo hadi kweny mabango makubwa yale ya hamlashauri kbsa. Pia siyo matangazo mabaya, mara 1000 matangazo haya kuliko yale ya Uchafuzi mkuu wa Mwenda zake na Genge lake walivyochafua Nchi nzima kwa mabango ya Uchafuzi hewa
Huko Dar kuna. Kila aina ya fujo fujoItabidi nihudhurieView attachment 1950826View attachment 1950827
Mbwahaaaa haaaNa kwa taarifa yake tu ni kwamba bonke ni bingwa wa matangazo Dunia nzima. Alibandika matangazo India Kila Kona ya India na mengine alikua akikuona umesimama anakubandika usoni
Alivoondoka iringa ilikua ruksa kuyachukua ukauze au ujuavyo wwKuna fursa imejificha kwenye mabango hayo hasa yale makubwa.
Neno la Mungu ni taa.Huko Dar kuna. Kila aina ya fujo fujo