Huyu hapa Mgonjwa wa kwanza kuwekewa Figo ya Nguruwe

Huyu hapa Mgonjwa wa kwanza kuwekewa Figo ya Nguruwe

UnAijuaje harufu ya Kitimoto?
Naijua sababu hata aliyekuwa mpenzi wangu wa miaka ile ambaye ni mama watoto sasa alikuwa anapenda. Mpaka sasa anatakaga akamtafune na anamfakamia haswa.

Binafsi nguruwe namuona kama binadamu, na vile anakula kila kitu hata watoto wake ndo kabisaa namuona kama paka au mbwa. Kuna mama alidondaka bandani akavunjika kitimoto ikamla akaisha. Sasa hiyo ni nyama ya kula kweli hata kama tamu?
 
Nguruwe ni kiumbe chenye faida kubwa sana, ukiacha utamu wake wa nyama, nguruwe hata majini tu yanakimbia ukiwa na mfupa wake nyumbani, sasa figo ya nguruwe ni dili kubwa sana
 
Mahi wetu anazidi kuongeza huduma zake..
Kwa Sasa ameongeza huduma kwenye kliniki yake ya (inner body Part replacement) yeye amespesholaizi kwenye figo wataweka tuu,, uhai Mchezoo!!###IjumaaKareem###😋😋🐷🐷jioni nikabonyee nusu ya kukaanga,,Mayai matatu kienyeji ya kukaanga na Maziwa fresh nusu lita
 
Huyu mdudu, nilimla kwa mara ya kwanza nikiwa na miaka 19 bila kujua, tokea hapo huwa nakula kwa siri sana. Ila msimamo na dini yangu upo pale pale
Mm wala si mambo ya dini. Dini inakataza vileo na napiga whisky hadharani sembuse nyama. Mm huwa naiona kama nyama isiyopaswa kuliwa kutokana na mnyama tu jinsi alivyo tabia zake. Ni kama tu watu wasivyokula nyama ya paka. Kwanini paka haliwi?
 
Kwa Sasa ameongeza huduma kwenye kliniki yake ya (inner body Part replacement) yeye amespesholaizi kwenye figo wataweka tuu,, uhai Mchezoo!!###IjumaaKareem###😋😋🐷🐷jioni nikabonyee nusu ya kukaanga,,Mayai matatu kienyeji ya kukaanga na Maziwa fresh nusu lita
Dah Acha ukorofi
 
Back
Top Bottom