Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Maigizo mkuu....social media usiziamini.Kama ni kweli hiyo imetokea basi hamna ndoa hapo
Mara nyumba Bahari Beach, mara Madale, mara kiwanja Dodoma na Tandale.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo mkuu....social media usiziamini.Kama ni kweli hiyo imetokea basi hamna ndoa hapo
Hahahah😀😀😀Fvck CCM
Ni kweli kabisa huyo jamaa namfahm.Kama ni kweli hiyo imetokea basi hamna ndoa hapo
Mpe pole mkuuNi kweli kabisa huyo jamaa namfahm.
Tumtakie heri tuu.
Mkuu kwanza familia ya mwanamke wamemdharau sana, wameshindwa nn kuorodhesha hivyo vitu kwa jina la mkwe wao badala ya Binti yao?Ni kweli kabisa huyo jamaa namfahm.
Tumtakie heri tuu.
Hapo umenisanua mkuuMaigizo mkuu....social media usiziamini.
Mara nyumba Bahari Beach, mara Madale, mara kiwanja Dodoma na Tandale.
Kwani kapewa yeye, si unasikia mama anasema "Debora tunaKUpa nyumba..."Kama Mimi ndio huyo msukuma navikataa hivyo vitu
Hapana ni jinsi huyo kijana alivyokurupushwa huko akapige pichaMbona easy tu?
Watu mme-catch kwa sababu mmesikia mali zikitajwa halafu mnahisi mwamba hana kitu.
Kama si hivyo, hakuna cha ajabu hapo.
Mbona ni kawaida tuKijana kaitwa kama mbwa nihuzuni
Kwanini asiseme "Debora tunawapa nyumba"?Kwani kapewa yeye, si unasikia mama anasema "Debora tunaKUpa nyumba..."
Sio Debora tunawapa nyumbaKwani kapewa yeye, si unasikia mama anasema "Debora tunaKUpa nyumba..."
Mimi nadhani hela za harusi ni za majini.Nilishaenda kwenye harusi wakataja honey moon kwenye hotel kubwa, baada ya harusi bwana harusi alikuwa mshikaji wangu akanitonya nimpe lift wanaelekea ubungo kwenye nyumba ya kupanga laki mbii na nusu kwa mwezi.
Sema sio kesi, labda ni ganda la ndizi.Mademu kama hawa huwa wanajilipia mahali......😄😄😄
Sio single maza kweli?Ni kweli kabisa huyo jamaa namfahm.
Tumtakie heri tuu.
HahahaMimi mke wangu hata apewe ndege, lazima awe chini yangu tu.. Akileta jeuri hizo Mali nitamtapeli na ndoa itakufa. Huwa sipendi dharau