Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jizoooo🤣🤣🤣Yake ni ya kampuni gani ?
Kwani huyo MAJIZO NDIYO NANI HUKO TANGANYIKA 🤡🤡NASHAURI AITWE 👉JIZI CHIZIHongera kwake kwa kuzindua Jizzo Sound. Sawa.
Ila swala la bei ni jambo jingine. View attachment 3265009
Kuna Michina mingi kwenye hii price range na ina muziki mnnene, itaweza kucompete?
Bei inayofuatia Laki 4.8 hadi Mil 3 uko. Sasa naona una compete na wakina JBL.
View attachment 3265013
Hilo wazo la kufeli ama kutofeli ni Moja ya matokea ktk biashara yoyote inayoanzishwaSina roho mbaya lakini hivi vidude vyake vitafeli, sijui ni nani aliyempa wazo la kuanzisha brand ya BT speakers...
Ukiwa China, local brands zimeweza kufanya vizuri kwa sababu ya kuuzwa kwa bei ya chini karibu 50% less ya brands za magharibi...
Acha ajaribu bahati yake......ndio uthubutuItadoda kama zingine tu
Ina maajabu gani ?Hivi anaijua sea PianO 993