Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

Hawezi kukupa coz anachojua base kubwa ndiyo good music.Ili upate music bora kutoka kwenye speaker ni lazima frequencies zote ziwiane yaani base, midrange na treble.

Hii huwezi kuzipata kwenye subwoofer nyingi za kichina. Ukianza kuongeza sauti kwenye subwoofer nyingi za kichina kuna hali ya kubadilika na kupishana kwa hizi frequencies.

Frequencies zote zikiwa katika mzani sawa hapa utapata kitu kinachoitwa clarity and detail.Hizi mara nyingi unazipata kwenye sauti ya juu!

Nb: Ili upate mziki bora ni lazima ugharamike coz kitu kizuri siku zote ni gharama.Hii ni kwa wale wanaoufahamu muziki na wenye idea kidogo ya sound engineering.
Umeandika maelezo mazuri na ya kitaalamu,kwa uelewa wako wewe ni brand gani mtu anaweza kununua na kupata muziki wenye mpangilio uliousema na bei yake?
 
unataka ubora kwny nn material, sauti au nn? Kwmb hzo jizo znazd ubora wa seapiano kwa ktu gn sasa kilichomo wkt nazo zmefyatuliwa china znatofauti gn na radio za kuchaji za kichina kama oraimo.
Ubora kweye mpangilio wa sauti
 
Hawezi kukupa coz anachojua base kubwa ndiyo good music.Ili upate music bora kutoka kwenye speaker ni lazima frequencies zote ziwiane yaani base, midrange na treble.

Hii huwezi kuzipata kwenye subwoofer nyingi za kichina. Ukianza kuongeza sauti kwenye subwoofer nyingi za kichina kuna hali ya kubadilika na kupishana kwa hizi frequencies.

Frequencies zote zikiwa katika mzani sawa hapa utapata kitu kinachoitwa clarity and detail.Hizi mara nyingi unazipata kwenye sauti ya juu!

Nb: Ili upate mziki bora ni lazima ugharamike coz kitu kizuri siku zote ni gharama.Hii ni kwa wale wanaoufahamu muziki na wenye idea kidogo ya sound engineering.
🤝
 
Ubora kweye mpangilio wa sauti
mpangilio upi unaosema uliopo kwny hivyo vijiredio vya jizo twambie hapa kama card za amplifaya znazofungwa kwny seapiano kwasasa ni class D sawa na znazofungwa kwny hometheater nazo n class D sawa pia na zlizopo kwny sound bar bass speaker.
 

Attachments

  • Screenshot_20250310-212001.jpg
    Screenshot_20250310-212001.jpg
    501.9 KB · Views: 1
Hawezi kukupa coz anachojua base kubwa ndiyo good music.Ili upate music bora kutoka kwenye speaker ni lazima frequencies zote ziwiane yaani base, midrange na treble.

Hii huwezi kuzipata kwenye subwoofer nyingi za kichina. Ukianza kuongeza sauti kwenye subwoofer nyingi za kichina kuna hali ya kubadilika na kupishana kwa hizi frequencies.

Frequencies zote zikiwa katika mzani sawa hapa utapata kitu kinachoitwa clarity and detail.Hizi mara nyingi unazipata kwenye sauti ya juu!

Sidhan kama una akili timamu ww hivi haya ma hometheater ya kchina, sound bar za kchina na hifi music yanayokuja hapa bongo unataka kuniambia kuna quality hiyo unayoisema kuzd masubwoofer? Umesema mi nachojua ni bass kubwa tu nadhan ww umekalili ukiona mzk una twta, mid na bass umemaliza turud kwny hoja hzo jizo zna quality gn ya kuzd ma subwoofer nataka jibu.
 
Ubora kweye mpangilio wa sauti
ubora wa mpangilio wa sauti kwa mizk ya bongo hapa made in china hakuna si hometheater, si sound bar wala si hifi music may be upate ya mtumba au uagze online so kwa hlo nikiwa na akili timamu huwez pata bnafs ndan nimefunga mzk wa gari nina bass spka jbl 12 inch, booster, equalizer na radio ya gari ynyw pamoja na mid spka na twita ndo mzk nlionao baada ya kuhama toka kwny ma subwoofer kfupi nina mzk mzto sn na quality ya sound ipo. Turud kwny hoja je hzo jizo zna ubora gn mkubwa kuzd ma seapiano nataka useme hapa. Zna tofauti gn na hz radio zngne za kuchaji za oraimo nk.
 
Vifaa vya music kodi yake ipp juu ukiweza kuuza lazima bei itakua juu..
 
Hongera kwake kwa kuzindua Jizzo Sound. Sawa.

Ila swala la bei ni jambo jingine.

Kuna Michina mingi kwenye hii price range na ina muziki mnnene, itaweza kucompete?

Bei inayofuatia Laki 4.8 hadi Mil 3 uko. Sasa naona una compete na wakina JBL.

Umenikumbusha kuna speaker kubwa kiasi ya OVAL SHAPE aina ya JBL tuliitumia kwenye meeting ya kampuni MeTL sijawahi kuona speaker inayotoa sauti nzuri kama hiyo na inaingia hadi ndani ya swimming pool kuuliza inauzwa 1 million plus
 
Back
Top Bottom