Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

Hilo wazo la kufeli ama kutofeli ni Moja ya matokea ktk biashara yoyote inayoanzishwa

Ni kweli...

Na ndio maana nikaweka swali sijajua ni nani kampa hilo wazo la biashara hiyo ambayo sokoni Tanzania ina brands ambazo zinapendwa na Watz na ni brands kubwa...

Kwa kuwa hizini new entries, mahali pekee angeweza kuwin ni kwa kuziuza kwa bei chee, alenge kizazi kama wanafunzi, wale wafanya biashara wanaotumia BT speakers kupayuka matangazo n.k

Kuna akili inaniambia pia, huenda jina ni lake lakini biashara ni ya wadosi wengine...
 
Hivi anaijua sea PianO 993
Sina hakika kama kutakuja tokea redio kama hii
sk(0).jpg
 
Kariakoo kuna speaker kama hizi zinauzwa 200k hadi 250k mjomba ni inabebeka lakini Mchina alifanya kufuru mziki wake ni wa kiwango cha juu sana JBL hii ya hapa na kama unaupiga kwenye chumba kimoja mtu anaweza Kudhani ni sound bar
Nenda Home City Mall .....kwa wachinapale mlimani city.....utarejesha feedback hapa.....najua soko gumu sanaaa
 
Ni kweli...

Na ndio maana nikaweka swali sijajua ni nani kampa hilo wazo la biashara hiyo ambayo sokoni Tanzania ina brands ambazo zinapendwa na Watz na ni brands kubwa...

Kwa kuwa hizini new entries, mahali pekee angeweza kuwin ni kwa kuziuza kwa bei chee, alenge kizazi kama wanafunzi, wale wafanya biashara wanaotumia BT speakers kupayuka matangazo n.k

Kuna akili inaniambia pia, huenda jina ni lake lakini biashara ni ya wadosi wengine...
Hii kupayuka kwenye matangazo ya wafanya biashara hovyo nimepanga kupafungulia kesi kesho kama mwananchi hii Dar imeoza ni Ina makelele Dar ni trash
 
Ila kwa akili ya watanzania wala siamini kama unamuombea afanikiwe kukuzidi.
Hahahahaha......... Wa tz wanafiki kumzidi SHETANI.
Hapana mtumish huyo ni tajiri ananizid kila kitu kuhusu mali za dunian

Kwanza anatokea familia bora mimi familia yangu hohehahe
Pili ana pesa nyingi mimi mfukoni kwangu hohe hehe
Tatu ana marafiki wenye pesa mimi Sina hata rafiki wa kudumu
Nne ana mke mzuri mimi kila dem hunipiga kibuti
Tano ana miradi ya maana na kaajiri watu wengi wanamtegemea lakin mimi Sina hata kiwanja

Kwa maana hiyo Sina namna yeyote ile ya kuwa na roho mbaya kwa mtu kama huyo
Tuombeane ndugu yangu
 
Uzuri wazo lake ni backup ya Tanzania eastafrica au africa nzima. Ila kwasababu sisi ni wa roho mbaya. Hatofika lengo within weeks. Wenzetu wanapasua record kwa muda mfupi sana.
Beats sound ya dre ndani ya week tu, kulikua na shortage kubwa saaaana.
Tungejali vyakwetu tungefika mbali sana within time.
Ndio maana mtu akitengeneza circle yake mwenyewe anapata utajiri chap kwa bongo.
 
Sema kuna kitu watanzania tuelewe.
Ukiingia alibaba au made in china hiyo mitandao kama unataka kuweka brand ya jina lako ukafika nao vizuri hiyo kampuni au kiwanda kwa pesa utayolipa wakuzalishie bidhaa.

Sasa inategemea umekwenda kiwanda gani
 
Hapana mtumish huyo ni tajiri ananizid kila kitu kuhusu mali za dunian

Kwanza anatokea familia bora mimi familia yangu hohehahe
Pili ana pesa nyingi mimi mfukoni kwangu hohe hehe
Tatu ana marafiki wenye pesa mimi Sina hata rafiki wa kudumu
Nne ana mke mzuri mimi kila dem hunipiga kibuti
Tano ana miradi ya maana na kaajiri watu wengi wanamtegemea lakin mimi Sina hata kiwanja

Kwa maana hiyo Sina namna yeyote ile ya kuwa na roho mbaya kwa mtu kama huyo
Tuombeane ndugu yangu
Ya Kibingwa Sana Hii B Boy
 
Back
Top Bottom