Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

mpangilio upi unaosema uliopo kwny hivyo vijiredio vya jizo twambie hapa kama card za amplifaya znazofungwa kwny seapiano kwasasa ni class D sawa na znazofungwa kwny hometheater nazo n class D sawa pia na zlizopo kwny sound bar bass speaker.
Mimi ndio niliuliza swali nashagaa unanihusisha na spika za Jizo
 
Unaweza ukawa huna hivyo vyote lakini ukawa na utajiri wa amani 🤔na afya tele Mungu hakunyimi vyote
Hapana mtumish huyo ni tajiri ananizid kila kitu kuhusu mali za dunian

Kwanza anatokea familia bora mimi familia yangu hohehahe
Pili ana pesa nyingi mimi mfukoni kwangu hohe hehe
Tatu ana marafiki wenye pesa mimi Sina hata rafiki wa kudumu
Nne ana mke mzuri mimi kila dem hunipiga kibuti
Tano ana miradi ya maana na kaajiri watu wengi wanamtegemea lakin mimi Sina hata kiwanja

Kwa maana hiyo Sina namna yeyote ile ya kuwa na roho mbaya kwa mtu kama huyo
Tuombeane ndugu yangu
 
Back
Top Bottom