Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Kwani huyo MAJIZO NDIYO NANI HUKO TANGANYIKA 🤡🤡NASHAURI AITWE 👉JIZI CHIZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani huyo MAJIZO NDIYO NANI HUKO TANGANYIKA 🤡🤡NASHAURI AITWE 👉JIZI CHIZI
993 ni balaa halafu bado hujalisema sp 912 na 910 yote yana bass spika ya 10 inch yote bei ni 300 tu lakn huko 993 umempeleka mbali sn huyo ungempa 1002 tu hzo radio zake zote haziisogelei.Hivi anaijua sea PianO 993
Hebu ielezee kidogo mkuu,maana naona muziki sasahivi unataka kugeuzwa kama Simba na YangaHivi anaijua sea PianO 993
Tupe ubora wa hizo Sea Piano mkuu993 ni balaa halafu bado hujalisema sp 912 na 910 yote yana bass spika ya 10 inch yote bei ni 300 tu lakn huko 993 umempeleka mbali sn huyo ungempa 1002 tu hzo radio zake zote haziisogelei.
Hii iliuza hatariii. Hadi leo Home bado ipo na inapiga kaziSina hakika kama kutakuja tokea redio kama hiiView attachment 3265056
Hao hawanunuagi, wanakopaga tu....ukifuatilia malipo unaambiwa "kunywa maji mwanangu"Angeleta Za Kijani Na Njano Akawauzia CCM
Hili dude hatari,,,Sina hakika kama kutakuja tokea redio kama hiiView attachment 3265056
Zilikuwa ngumu sana kuharibika, kila aliye nunua hadi leo anayo nikiwamo mimiHii iliuza hatariii. Hadi leo Home bado ipo na inapiga kazi
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Yaan ziko vizuri hatarii.Zilikuwa ngumu sana kuharibika, kila aliye nunua hadi leo anayo nikiwamo mimi
unataka ubora kwny nn material, sauti au nn? Kwmb hzo jizo znazd ubora wa seapiano kwa ktu gn sasa kilichomo wkt nazo zmefyatuliwa china znatofauti gn na radio za kuchaji za kichina kama oraimo.Tupe ubora wa hizo Sea Piano mkuu
amethubutu, mengine hatujui.Itadoda kama zingine tu
Makelele tu wanatupigiaHivi hizo spika mkishanunua Huwa mnafanyia nini
Hawezi kukupa coz anachojua base kubwa ndiyo good music.Ili upate music bora kutoka kwenye speaker ni lazima frequencies zote ziwiane yaani base, midrange na treble.Tupe ubora wa hizo Sea Piano mkuu