[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie uwiiiih.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukute anatabia ya kuota mademu zake
Anaanza kukushika shika unaweza tia mtu kofi usingizini akizinduka unasingizia wachawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza ni rafiki wa namna gani huyo ambaye huwezi kumchana laivu badala yake unakimbilia Jf
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ulifanya vizuri, ila sometimes unamfanya yule mtu ajisikie vibaya lol.Mimi College mate wangu alipata kazi Akatoka huko mikoani na Kuja Mjini, Nawajua waswahili walivo Nikamuweka Guest siku tatu huku nikimpa kazi ya kutafuta Chumba alitafuta akapata nika Clear Kodi ya Miezi mitatu, Nilikuwa na mtungi mdogo wa Gesi ambao siutumii vyombo kadhaa nkamchukulia na kagodoro kama ka shule sikuwa kulala nae yule jamaa hata siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ungepigwa kipara ndio ungepata akili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnalala kitanda kimoja? Mkuu fukuza huyo mtu. Mimi kuna kijana mmoja aliomba aje afikie kwangu sijui kaitwa aje kufanya interview nikamkaribisha nikaona mwezi wa 1 unakatika bila ya umeme ikapanda na units za Dawasa zikawa juu. Hana msaada afyeki nje wala kusafisha nyumba. Nikamuita siku moja nikamwambia umekuja kutafuta kazi ama kufanyakazi. Kesho naomba uondoke. Sipendi ujinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtoa mada umenikumbusha mazungumzo fulani redioni juzi juzi. Eti jamaa anashinda ndani tu anaangalia tv. Akiulizwa ana mpango gani wa maisha anasema " kuna mchongo fulani nausikilizia"
Je ukibuma? Badala ya kutafuta plan B anaagalia tv tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi huwa sipokei mtu mjini kwa sababu hiyo tu.Ili nimpokee basi lazima ama awe ndugu wa karibu ambaye namfahamu vizuri au kama ni mshkaji pia niwe namfahamu.Wakati nikiwa bwa mdogo sana nilijaribu kusaidia baadhi ya washakji ila wengi walikuwa na stress na mimi kwa kautokujua nikajikuta nakua sehemu ya stress zao.
All in all kama umeamua kumsaidia basi msaidie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]mkuu hata mi nilipata mgeni ambaye nlisomaga nae chuo nae ana pigo kama za huyo jamaa yako huyu wangu ubrazamen mwingi,ila nashukuru kasepa
😂😂😂..alichonishangaza leo kaniambia eti k vant na valuer anahisi hazimleweshi hivyo anataka pombe kali zaidi.
na bandiko halifutwiHii habari inahusianajee na hili group?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuh.Mkija mkoani tunawapokea kwa mikono yote ila tukija dar mnatuona mizigo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna jamaa mmoja huyo nilimkaribisha kwangu kutoka huko Bush kwetu mpaka ilinibidi nimpangishie tu kwake,alikuwa na tabia za ajabu sijawahi kuona,kwanza janaume zima mpaka leo eti bado linavaa chupi badala ya boxer,usiku linavua nguo zote linabaki na chupi tu eti linalala hivyo hivyo linasingizia joto.nikaona isiwe tabu,nikalitafutia ghetto mahali na kitanda,saivi limeoa na akili zimekaa sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au alitaka akutatue marinda kimasihara [emoji28][emoji28][emoji1544]yaani anakufata kwa kasi kiasi hicho [emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechela hadi mbavu zinauma mweeeeh.Kuna jamaa mmoja huyo nilimkaribisha kwangu kutoka huko Bush kwetu mpaka ilinibidi nimpangishie tu kwake,alikuwa na tabia za ajabu sijawahi kuona,kwanza janaume zima mpaka leo eti bado linavaa chupi badala ya boxer,usiku linavua nguo zote linabaki na chupi tu eti linalala hivyo hivyo linasingizia joto.nikaona isiwe tabu,nikalitafutia ghetto mahali na kitanda,saivi limeoa na akili zimekaa sawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Atakuja kukupakua siku moja watu wa pombe ni wa ovyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alivyokuja alikuta k vant nusu chupa akagida yote,jana nikasema ngoja nikachukue tena chupa kubwa tuje tupige na jamaa ikakata,nikaona kaenda shop kaja na double kick,leo nimemkuta yuko na chupa ya k vant anapiga taratibu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu mmevurugwa lol.Angepigwa yeye japo kuwa sijui ila ningejifunzia kwake kula vipara[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu yule jamaa ni kero aisee sijui hata akili zake zipoje ni kitambo ila nashukuru aliahidi kukaa wiki na ikawa hivyo angezidisha ningekuja kuomba ushauri humu[emoji1][emoji1]
Mnabadilishana upande, m1 kichwan, mwingne muguuni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwa sisi ambao hatuja zoea kulala wanaume watupu kitanda kimoja hii kitu inatuumiza Sana ukifika muda wa kulala