UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Thank you 👏Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.
Mtu ameua askari wawili na mlinzi, anaendelea kurusha risasi ovyo na kuhatarisha maisha ya watu wengine, wewe unasema wamkamate? Fikra nyingine ni za kijinga kabisa. Tena wangemuua kwa silaha kubwa ya kuharibia vifaru vitani ili asibakie hata kidole!