stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 7,134
- 4,556
Hakuna siasa
kwahio polisi wamefanya kosa si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna siasa
Huyo jamaa alikuwa Chizi asiekuwa na mafunzo yeyote huwezi kukaa peupe vile huku umeibagala manati hadharaniMtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?
Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.
Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?
Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?
Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
Achana na hizo stori za ufaransa... Tukio hilo la ufaransa lilikuwa na mazingira yake, tuzungumzie hili la leo!. Jamaa licha ya pistol aliyokuwa nayo bado alikuwa na SMG mbili, moja inaning'inia shingoni nyingine anaitumia kulenga kila anachokiona.... kumbuka SMG ina risasi thelathini na ameishaua watu wanne wewe unasema aachwe aue watu wapatao 30, aishiwe risasi wewe ndio ukamkamate?..... Wewe utakuwa askari kweli au askofu??.
Umejibu kindezi Sana Kama huna akili mada nyingine uziacheMtu anauliza HUU UJASIRI ALIUPATA WAPI?
Hivi ujasiri wa polisi kupambana na huyo jamaa waliupata Sinza au Tandale?
Vijana American movies zinawafanganya sana....Hahahaaa aisee!!!
Marekani, Ufaransa, Sweden na Uingereza walishatokea watu kama hawa lakini walikamatwa na kuhojiwa.
Jamaa aliyepiga risasi watu msikitini Newzealand unajua alikua na bunduki ngapi? Mwisho wa siku alidhibitiwa na wanausalama bila kuuawa.
Kama mapungufu yapo lazima yasemwe.
Wewe kweli kilaza, unauliza mtuhumiwa wa ugaidi kapata wapi bastola? Alijifunzia wapi kutumia silaha? Hivi unafikiri magaidi kazi yao ni kucheza disco? Huko CCM yamejaa mapooza tupuMtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?
Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.
Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?
Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?
Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
mkuu uelewe kwamba ANAELINDA LINDO NA ANAE SHAMBULI LINDO Huyu anae shambulia huwa amejiandaa kimbinu baada ya muda mrefu wa kuchunguza medani! Hivyo anajua atokee wapi na muda gani Ashitukize!Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?
Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.
Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?
Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?
Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?
Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.
Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?
Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?
Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
Huyo jamaa alikuwa Chizi asiekuwa na mafunzo yeyote huwezi kukaa peupe vile huku umeibagala manati hadharani
Hata kama ikija kujulikana kuwa ni Gaidi lakini ana uchizi vilevile.
Hakika we ni punguaniii
Wataalam na majasus wenye mipango huweza kumtumia mtu kama huyu kuwasoma mbinu zenu na akili zenu jinsi ya kutatua vipingamizii.
Sasa kisa mtu kuua watu mnapoteza target kwa kumiminia risasi mkizani mmesolve tatizo Kumbe nikuongeza tatizoo.
Ila sio mbaya wanajitahidi Police wetu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Jamaa aliyepiga risasi watu msikitini Newzealand unajua alikua na bunduki ngapi? Mwisho wa siku alidhibitiwa na wanausalama bila kuuawa.
Kama mapungufu yapo lazima yasemwe.
Jibu ni rahisi sana... ukiangalia ushahidi wa picha zilizomwaga humu na watu aliokuwa anavinjari nao, na kama picha hizo si za kutengeneza basi, ujasiri kautoa UVCCM. Sasa polisi kazi wanayo- ya kuchunguza connection ya UVCCM na huyu mfyatua risasi kwa polisi na connection yake UVCCM, isije kuwa wametibuna katikla madeal yao...Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?
Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.
Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?
Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?
Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?