Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?

Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.

Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?

Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?

Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
Huyo jamaa alikuwa Chizi asiekuwa na mafunzo yeyote huwezi kukaa peupe vile huku umeibagala manati hadharani

Hata kama ikija kujulikana kuwa ni Gaidi lakini ana uchizi vilevile.
 
Achana na hizo stori za ufaransa... Tukio hilo la ufaransa lilikuwa na mazingira yake, tuzungumzie hili la leo!. Jamaa licha ya pistol aliyokuwa nayo bado alikuwa na SMG mbili, moja inaning'inia shingoni nyingine anaitumia kulenga kila anachokiona.... kumbuka SMG ina risasi thelathini na ameishaua watu wanne wewe unasema aachwe aue watu wapatao 30, aishiwe risasi wewe ndio ukamkamate?..... Wewe utakuwa askari kweli au askofu??.

Uwezekano wa kuvaa tisheti ya vilipuzi huwezi kuurule out. Hili utaliona kwa wale askari walioenda kuchukua silaha zile baada ya jambazi kuanguka chini walikuwa katika tahadhari kubwa.
 
Je kuna makundi yapo nyuma ya tukio?

Jibu: Kuna mtu atakupa jibu la hili swali humu?
 
Hii mada haikuwa kwa ajiri ya vilaza

USSR
 
Kwenye Utawala Wangu Wote Wangelala Chini!!
By Jiwe 😃😁😂😀🤣😂😂😁
 
Yule niliambiwa ni Ethiopian war veteran. Lakini inaelekea ni Somali war veteran.
Kuna stori kwamba alikuwa anaumwa nchi za nje na alikuja hapa nchini kwa matibabu.
I hope there is a simple explanation to all this. Ama sivyo tutadhani Kabul imeanguka na sasa mimekucha.
 
Jamaa aliyepiga risasi watu msikitini Newzealand unajua alikua na bunduki ngapi? Mwisho wa siku alidhibitiwa na wanausalama bila kuuawa.
Kama mapungufu yapo lazima yasemwe.

Mazingira mkuu. Lini mtaelemika. Mifano ya kukariri bila kujua swali Ni utopolo.
 
Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?

Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.

Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?

Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?

Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
Wewe kweli kilaza, unauliza mtuhumiwa wa ugaidi kapata wapi bastola? Alijifunzia wapi kutumia silaha? Hivi unafikiri magaidi kazi yao ni kucheza disco? Huko CCM yamejaa mapooza tupu
 
Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?

Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.

Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?

Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?

Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
mkuu uelewe kwamba ANAELINDA LINDO NA ANAE SHAMBULI LINDO Huyu anae shambulia huwa amejiandaa kimbinu baada ya muda mrefu wa kuchunguza medani! Hivyo anajua atokee wapi na muda gani Ashitukize!
Na anae linda hajui adui atatokea wapi na muda gani?
Hivyo mshambuliaji ana asilimia kubwa ya kufanikisha lengo lake kuliko anayelinda!!
 
Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?

Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.

Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?

Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?

Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?

wakishua uyo pia ni uvccm kwaiyo yote yanawezekana
 
Huyo jamaa alikuwa Chizi asiekuwa na mafunzo yeyote huwezi kukaa peupe vile huku umeibagala manati hadharani

Hata kama ikija kujulikana kuwa ni Gaidi lakini ana uchizi vilevile.

hana mafunzo ndo kawakalisha sasa polis wa 3
 
Hakika we ni punguaniii

Wataalam na majasus wenye mipango huweza kumtumia mtu kama huyu kuwasoma mbinu zenu na akili zenu jinsi ya kutatua vipingamizii.

Sasa kisa mtu kuua watu mnapoteza target kwa kumiminia risasi mkizani mmesolve tatizo Kumbe nikuongeza tatizoo.

Ila sio mbaya wanajitahidi Police wetu



Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Haya wewe uliye smart mbona hujawa Jasusi tena aliyebobea, uko hapa unapiga porojo tu tena nyuma ya key board na si ajabu uko huko manerumango umejifich
 
Jamaa aliyepiga risasi watu msikitini Newzealand unajua alikua na bunduki ngapi? Mwisho wa siku alidhibitiwa na wanausalama bila kuuawa.
Kama mapungufu yapo lazima yasemwe.

Siku nyingine tutaomba uwe front line uongoze operation nzima na siyo kutoa “uzoefu” wako nyuma ya key board kwa kutolea mifano ya New Zealand
 
Mtuhumiwa wa ugaidi alipata wapi bastora? Alkmiliki ki halali? Kama sio alimata wapi?

Je, alijifunza wapi kutumia siraha za kivita kama Smg.

Je, kuna makundi yapo nyuma ya tukio hili?

Huu ujasiri alioupata ni hali ya kawaida?

Intelijensia ya kipolisi ipo sawa?
Jibu ni rahisi sana... ukiangalia ushahidi wa picha zilizomwaga humu na watu aliokuwa anavinjari nao, na kama picha hizo si za kutengeneza basi, ujasiri kautoa UVCCM. Sasa polisi kazi wanayo- ya kuchunguza connection ya UVCCM na huyu mfyatua risasi kwa polisi na connection yake UVCCM, isije kuwa wametibuna katikla madeal yao...
 
Inasikitisha kwa kweli Nini kilipelekea mpaka akafanya Yale Tena kijana mdogo tu! 1991[emoji17]
FB_IMG_16299134931770232.jpg
FB_IMG_16299177035229077.jpg
 
Back
Top Bottom