- Thread starter
- #281
Askari wenye akili wangepiga risasi sehemu muhimu za yule mhalifu ili kumdhoofisha kama mikono, miguu ama mabega. Mwenyewe angenyoosha mikono.Achana na hizo stori za ufaransa... Tukio hilo la ufaransa lilikuwa na mazingira yake, tuzungumzie hili la leo!. Jamaa licha ya pistol aliyokuwa nayo bado alikuwa na SMG mbili, moja inaning'inia shingoni nyingine anaitumia kulenga kila anachokiona.... kumbuka SMG ina risasi thelathini na ameishaua watu wanne wewe unasema aachwe aue watu wapatao 30, aishiwe risasi wewe ndio ukamkamate?..... Wewe utakuwa askari kweli au askofu??.
Walichofanya hawa polisi wetu ni uzwazwa