Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
No Vicky. "Enhanced interrogation" itakufanya useme tu. We're not sure hata kama ni gaidi. Sidhani kama kuna gaidi mjinga kama huyu bwana. We would get crucial information. Police must say something. Who's this guy?
Msiwabeze POLISI wetu, wameshapata kila kitu kutoka kwa familia mpaka mafaili ya ugonjwa hata huko alikoenda chukua mafunzo, hata kabla ya kuuawa aliyoyatamka na ndugu wanaelezea nia yake, tusivuruge yaliyotokea, subiri audio za ndugu zake, huyu Hassan asingebakizwa hata dk 10 ni mhemuko tu hana lolote kaamka na raba zake kwenda vitani
Screenshot_20210825-173012.jpg
IMG-20210825-WA0016.jpg

View attachment 1908124
 
Kuna wazee wa interogation wewe usiombe kukutana wanakupiga kisu cha gotini. Hujasema unapigwa cha mkundn hujasema unamaliziwa chs koromero c bora lingekufa kifo hicho kuliko kuuliwa kwa lisasi fasta vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Angepelekwa Sitakishari angesema mwenyewe kuwa "sitaki shari".
 
Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.
Polisi walikuwa sahihi kumuua!

Karushiana nao risasi. Kaua watu kadhaa.

Hakuna muda wa kumlenga sijui matakoni au kwenye ugoko.

Ni kumnyunyizia risasi mpaka ashindwe kurusha za kwake. Akifa in the process, so be it. After all, hicho ndicho alichokitaka. Kakipata.
 
Soo ulitaka aue
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
  • Ni nani?
  • Katumwa na nani?
  • Yuko na akina nani (wako wangapi)?
  • Nini dhamira yao?

- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
aue watu wengi? Au wewe ndio ulimtuma? Acha masihara kwenye vitu vya msingi. Good job vijana wetu wa police
 
Wale wameletwa kuleta vurugu ukanda wa afrika mashariki na M7 na mwenzake mtu mrefu nawatilia mashaka sana
Mm naungana na wewe
Kwanimi hujaenda kumkamata?
Polisi tunawalipa kwa kazi hiyo. Na wanastahili kufutwa kazi kwa uzembe huu. Wameapa kutulinda kwa kiasi cha kutoa uhai wao. Kama wanaogopa kufa waache kazi
 
Mtu aliyeshika silaha hudhibitiwa kwa kutumia silaha. Anaepigwa miguuni ni yule asiyeshika silaha lakini hatoi ushirikiano. Ukimjeruhi tu mweye silaha ana uwezo wa kuzipia hovyo risasi zilizobakia na kuua hata wasiohusika.... Kama wamemuua ni sahihi kabisa.
Hqpana siyo kweli. Kule Ufaransa kulikuwa na mtu mwenye silaha tena alikuwa kwenye eneo lenye watu wengi lkn alidhibitiwa.

Hawa wa kwetu hovyo kabisa
 
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
  • Ni nani?
  • Katumwa na nani?
  • Yuko na akina nani (wako wangapi)?
  • Nini dhamira yao?

- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??


Waacheni Askari wetu wafanye kazi yao, wao wanajua vizuri,sisi wengine tuendelee kupiga porojo tu hapa.Baada ya tukio kutokea na kuwa neutralized.Hongereni sana Askari wetu kwa ujasiri mkubwa mliouonyesha hapa.
 
  • Dislike
Reactions: G4N
Umeandika kiushabiki tu, hujui chochote kuhusu situations kama hizo na hasa kama mtu anafyatua hovyo risari huku zikilenga watu.
Ningesikia idadi ya vifo ni zaidi ya 50 hapa ningekubari kuwa jamaa alikuwa anafyatua risasi ovyo, ila kwa kuwa mpaka sasa vifo ni vinne tu na majeruhi 6 basi jamaa alikiwa hafyatui risasi ovyo

Harafu jamaa aliacha kushambulia akawa ananyoosha mkono na kujipiga piga kifua mda huo ulikuwa sahihi kabisa kumlenga sehemu za kumudhoofisha na sio kumuua

Hapa kuna uzembe tukubari jamani, kwanza jamaa katamba mda mrefu sana

Yote kwa yote pole kwa familia za askari waliopeteza maisha, Mungu azilaze mahari pema peponi
 
Mtu hatari mwenye silaha zote hizo anayerusha risasi hovyo hovyo apigwe risasi za mguu ili akamatwe?

Mnacheza nyie.

Huyo alikuwa anahatarisha maisha ya watu na ni kazi ya law enforcement kuiondoa hiyo hatari.

Hakuna mambo ya kujadili wala sijui kutafakari apigwe wapi risasi.

Mnyunyizie risasi zote, hata kama ni 1,000, ili mradi hatari kwa watu iondoke.

Heko polisi.
Hakika we ni punguaniii

Wataalam na majasus wenye mipango huweza kumtumia mtu kama huyu kuwasoma mbinu zenu na akili zenu jinsi ya kutatua vipingamizii.

Sasa kisa mtu kuua watu mnapoteza target kwa kumiminia risasi mkizani mmesolve tatizo Kumbe nikuongeza tatizoo.

Ila sio mbaya wanajitahidi Police wetu



Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hakika we ni punguaniii

Wataalam na majasus wenye mipango huweza kumtumia mtu kama huyu kuwasoma mbinu zenu na akili zenu jinsi ya kutatua vipingamizii.

Sasa kisa mtu kuua watu mnapoteza target kwa kumiminia risasi mkizani mmesolve tatizo Kumbe nikuongeza tatizoo.

Ila sio mbaya wanajitahidi Police wetu



Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hahahaaa aisee!!!
 
Back
Top Bottom