Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Msiwabeze POLISI wetu, wameshapata kila kitu kutoka kwa familia mpaka mafaili ya ugonjwa hata huko alikoenda chukua mafunzo, hata kabla ya kuuawa aliyoyatamka na ndugu wanaelezea nia yake, tusivuruge yaliyotokea, subiri audio za ndugu zake, huyu Hassan asingebakizwa hata dk 10 ni mhemuko tu hana lolote kaamka na raba zake kwenda vitaniNo Vicky. "Enhanced interrogation" itakufanya useme tu. We're not sure hata kama ni gaidi. Sidhani kama kuna gaidi mjinga kama huyu bwana. We would get crucial information. Police must say something. Who's this guy?
View attachment 1908124