Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Yale ni maneno tu ya kisiasa,Halafu mama anasema Askari wetu anapiga Moja tu zikizidi tatu ushalala,hii haiana tofauti na risasi 32 za Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale ni maneno tu ya kisiasa,Halafu mama anasema Askari wetu anapiga Moja tu zikizidi tatu ushalala,hii haiana tofauti na risasi 32 za Lissu
Alitaka kupata umaarufuHuyu alitakiwa awe na cover toka kwa wenzake lakini ni udhaifu mwingine umeonekana anamsogelea mhalifu bila cover.
Mama said shoot you upMtu hatari mwenye silaha zote hizo anayerusha risasi hovyo hovyo apigwe risasi za mguu ili akamatwe?
Mnacheza nyie.
Huyo alikuwa anahatarisha maisha ya watu na ni kazi ya law enforcement kuiondoa hiyo hatari.
Hakuna mambo ya kujadili wala sijui kutafakari apigwe wapi risasi.
Mnyunyizie risasi zote, hata kama ni 1,000, ili mradi hatari kwa watu iondoke.
Heko polisi.
Ulevi gani huo ambao hautaisha mtu akiwa mahabusu?Exposure gan ulionayo? nini cha maaana unacho kwenye hio exposure yako?
osama aliesumbua dunia nzima hakukamatwa kuhojiwa, mtu alielewa unamhoji nn?
Taarifa za awali inasemekaana kwenye walet alikutwa na kadi ya ccmMpaka Sasa Hivi Haijulikani Taarifa Zake
Wasingemuuwa
Na haya ndio madhara ya kuutangazia ulimwengu habari za Ugaidi Tanzania na sasa wanafanya kweli... hii kesi ya mheshimiwa haikufaa kabisa kuletwa kwa mtindo huo wa ugaidi... sasa wanafanya kweli halafu bado Polisi wanamtafuta mchawi... tuombe Mungu copy cat isitokee au wa namna hiyo kujitokeza maeneo mengine nchini hapa...
Hatari sanaAlitaka kupata umaarufu
😂 😂 😂 😂Sasa ivi msafara ukipita utakuwa unasimama kila Kona kuuulizia oya masela vip? Pako shwari
Haijawahi tokea Tanzania - mtu anapiga risasi ovyo barabarani. Huyu lazima ni gaidi. Kuuwa askari wawili si mchezo.Hakuna ajuaye kama huyu ni gaidi ama ni mwizi, au ana msongo wa mawazo tu
Ulevi gani huo ambao hautaisha mtu akiwa mahabusu?
huna kitu unajua! subiria kesi ya mbowe ikiskilizwa tenaHaijawahi tokea Tanzania - mtu anapiga risasi ovyo barabarani. Huyu lazima ni gaidi. Kuuwa askari wawili si mchezo.
its a code.. if the suspect happen to be in possession of a gun and refuses to surrender and its a threat of death to an opeartor then its a shoot to kill..at those second its either him or deathPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Najaribu kuwaza kama yule angekuwa chambo na kuna snipers wametulia mahali kama kawaida yao, sijui polisi tungewaokota wangapi pale yaaaani!!Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Hayo ni matukio mawili tofauti.inaonekana we ni mgeni sana kwenye matukio kama haya, anyway ni juzi tu tena kuna yule jamaa alipiga shaba watu kwenye baa, sjui kama unakumbuka
Ulikuwa msafara wa naniAlikuwa anasubiri msafara ukageuza baada ya raia mwema kutoa taarifa..
Sikiliza hapa raia akitoa maelezo ikabidi msafara urudi.
Naomba niishie hapoView attachment 1907822