Alikuwa anasema yeye ana shida na Askari watu wengine waondoke, Allah AkbarHuyu jamaa km angeamua kumaliza watu angeua wengi kulikuwa basi Eicher mbele yake akalipotezea
Kabisa mkuu,hakuna gaidi waviileee.No Vicky. "Enhanced interrogation" itakufanya useme tu. We're not sure hata kama ni gaidi. Sidhani kama kuna gaidi mjinga kama huyu bwana. We would get crucial information. Police must say something. Who's this guy?
Askari wenye akili wangepiga risasi sehemu muhimu za yule mhalifu ili kumdhoofisha kama mikono, miguu ama mabega. Mwenyewe angenyoosha mikono.
Walichofanya hawa polisi wetu ni uzwazwa
gahidi?Inawezekana alikuwa anamtafuta gahidi aliyepo gerezani maana sasa kwa kuuutangazia ulimwengu kuwa tanzania kuna magahidi ndiyo tunaanza kuwaona sasa
Mengine ni yako, mie nadadavua kabla ya kuuawa alipokuwa barabaraniWarudishwe katika mafunzo ya shabaa au katika mafunzo ya kuikimbia dhuluma na kuiba mali za uma?Unaelewa kuwa hawa polisi wameuawa baada ya kupora madini ya Bwana Hamza?Unaelewa kuwa hawa ambao unawaita kuwa ni Polisi hapa Tanzania ni vibaka na majambazi?
Pumbafgahidi?
magahidi?
Unatafutwa na uhamiaji wewe.
Hayo ni yako,mie nadadavua vile Polisi wa Tanzania walivyo vibaka na majambazi wazoevu wa kupora mali za raia.Mengine ni yako, mie nadadavua kabla ya kuuawa alipokuwa barabarani
Aliwaambush na Ambush huwa haina ujanja.
DhulmaInasikitisha kwa kweli Nini kilipelekea mpaka akafanya Yale Tena kijana mdogo tu! 1991[emoji17]View attachment 1908358View attachment 1908359
Kuuawa ndio ilikuwa akili ya mwisho ya IGP huko Tanzania.Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
- Ni nani?
- Katumwa na nani?
- Yuko na akina nani (wako wangapi)?
- Nini dhamira yao?
- Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Situation gani? How can the entire police force fail to arrest one person?? Kwa nini wasingeomba msaada kwa makomandoo wa JWTZ?? Bado naunga mkono hoja kwamba wamepoteza fursa muhimu ya kumhoji na kujua wako wangapi!!Inategemea na situation mkuu, that was the right choice ukiangalia alikua anashoot hovyo
Ndio ili abaki hai wamtese kwanzaNyie watu nyie wangempiga za magotini tu!!?
wakati hata baada ya kuanguka waliendelea kumchapa shaba za mk.unduni.....
kuhakikisha kwamba amekufa kabisa
Situation gani? How can the entire police force fail to arrest one person?? Kwa nini wasingeomba msaada kwa makomandoo wa JWTZ?? Bado naunga mkono hoja kwamba wamepoteza fursa muhimu ya kumhoji na kujua wako wangapi!!
Mimi ndiyo maana nasema Afrika inahitaji walimu asilia wa maswala ya uchunguzi hasa polisi.
Mimi kama mwalimu binafsi kwa tukio hili ningewafundisha kuharass adui ili atumie silaha zake ziishe pamoja na kutumia mbwa kukamata adui kama huyo au teaser gun then anakamtwa kilaini bila madhara makubwa labda wangekifa askari wawili na mbwa mmoja tu na adui akasalimika ili kutupa taarifa muhimu,bas!!
Situation gani? How can the entire police force fail to arrest one person?? Kwa nini wasingeomba msaada kwa makomandoo wa JWTZ?? Bado naunga mkono hoja kwamba wamepoteza fursa muhimu ya kumhoji na kujua wako wangapi!!
Nadhani kuna mambo yaliyopelekea kumuua ili kuficha ushahidi maana polisi wetu si waaminifu hata kidogoPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua...
Unless of course it's CHADEMA kongamano au CHADEMA going to church services where the intelligence is to the maximum [emoji23][emoji23]Our Intel community seems to be weak and somewhat incompetent
Kumbe ni gaidi??Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.