mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,950
- 5,317
Mimi kilicho nishangaza zaidi ni kua hata jenenerari manyota wa uhamiaji hakua na taarifa ya kinacho endelea hadi raia walipo ingilia kati kuwa zuia kua huko mbele kuna mwana ccm anapambana na wanaccm wenzie.
Yaani msafara wa jenenerari, pamoja na mbweza ving'ora hua unakwenda bila hata kujua usalama wanjia wanayo kwenda?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila, uhamiaji wakisikia kuna rori limebeba wasomali, siokwa mbwembwe zilee.
Yaani msafara wa jenenerari, pamoja na mbweza ving'ora hua unakwenda bila hata kujua usalama wanjia wanayo kwenda?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Ila, uhamiaji wakisikia kuna rori limebeba wasomali, siokwa mbwembwe zilee.