Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Inawezekana alikuwa anamtafuta gahidi aliyepo gerezani maana sasa kwa kuuutangazia ulimwengu kuwa tanzania kuna magahidi ndiyo tunaanza kuwaona sasa
 
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Kuna polisi alitaka akamkamatie mle kibandani akala ya paja yeye mwenyewe kakimbia hadi kaenda kudondokea kule getini
 
Wamkamataje wakati mhuni kawaua wawili
Wangemsubiri mpaka aishiwe risasi then wamkamate....bunduki aliyokuwa nayo inajulikana idadi ya risasi inazoweza kubeba kwa wakati mmoja. Sasa polisi watakosa pakuanzia kuhusu huyu mtu ametoka wapi, ana lengo gani, je yuko pekee yake au ni kundi kubwa na je wanapatika wapi...nchini au amevuka mpaka...! Hizi zote ni taarifa muhimu sana kiintelligensia.
 
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
 
Huyu jamaa km angeamua kumaliza watu angeua wengi kulikuwa basi Eicher mbele yake akalipotezea
Alikuwa anasubiri msafara ukageuza baada ya raia mwema kutoa taarifa..
Sikiliza hapa raia akitoa maelezo ikabidi msafara urudi.
Naomba niishie hapo
 
Weledi tu... Huyu walikuwa wanaweza kumtuliza kabisa
 
Back
Top Bottom