dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... mse*n*g3 kaenda kulianzishia kwenye mtaa muhimu wa jiji/nchi!Mungu apishilie mbali isejekuwa katumwa na magaidi yaliyopo Msumbiji.
Hi itakuwa na athari hasi kwa utalii nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... mse*n*g3 kaenda kulianzishia kwenye mtaa muhimu wa jiji/nchi!Mungu apishilie mbali isejekuwa katumwa na magaidi yaliyopo Msumbiji.
Hi itakuwa na athari hasi kwa utalii nchini
Gaidi hilo somali AK 47 limeitoa wapi ?Kuna watu nyuma yake.Hakuna ajuaye kama huyu ni gaidi ama ni mwizi, au ana msongo wa mawazo tu
Inawezekana alikuwa anamtafuta gahidi aliyepo gerezani maana sasa kwa kuuutangazia ulimwengu kuwa tanzania kuna magahidi ndiyo tunaanza kuwaona sasaPolisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Kuna usemi kuwa kinacho mponza kambale ni mdomo wake .Watakubeza sana lkn huo ndo ukweli. Nami nilitaka kuleta uzi Kama huu. Asante kwa kuliona hilo
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Wamkamataje wakati mhuni kawaua wawili
Kuna polisi alitaka akamkamatie mle kibandani akala ya paja yeye mwenyewe kakimbia hadi kaenda kudondokea kule getiniPolisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Na mbwa akikaribia kufa hupoteza huwezo wa kunusaKuna usemi kuwa kinacho mponza kambale ni mdomo wake .
Wangemsubiri mpaka aishiwe risasi then wamkamate....bunduki aliyokuwa nayo inajulikana idadi ya risasi inazoweza kubeba kwa wakati mmoja. Sasa polisi watakosa pakuanzia kuhusu huyu mtu ametoka wapi, ana lengo gani, je yuko pekee yake au ni kundi kubwa na je wanapatika wapi...nchini au amevuka mpaka...! Hizi zote ni taarifa muhimu sana kiintelligensia.Wamkamataje wakati mhuni kawaua wawili
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Msongo wa mawazo? No way! SMG ametoa wapi?Hakuna ajuaye kama huyu ni gaidi ama ni mwizi, au ana msongo wa mawazo tu
Alikuwa anasubiri msafara ukageuza baada ya raia mwema kutoa taarifa..Huyu jamaa km angeamua kumaliza watu angeua wengi kulikuwa basi Eicher mbele yake akalipotezea
Uwezo wao umeishia kumkamata Mbowe tukwaiyo wanaweza kumkamata mbowe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nafuu upoteze hata asikari 20 lakini mmtie nguvuni mhalifu mtapata taarifa zake muhimu,kwani wsngempiga hata mguu yote ingekuwaje?Vita ni vita mbona hufikilii askari wawili waliofariki
Ndio hao sasa angekamatwa hai wangethibitiwa kabla hawajafanya tukio lingine.Gaidi hilo somali AK 47 limeitoa wapi ?Kuna watu nyuma yake.