ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
Ila tumepoteza risasi nyingi sana.kuna haja ya kuongeza mafunzo ya kurenga shabaha.
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kama yule ambaye anaonekana amerukwa na akili ukimpiga ya mguu ataona liwalo na liwe ataanza kufyatua na kuua kila mtu.Inategemea na situation mkuu, that was the right choice ukiangalia alikua anashoot hovyo
My thesis title " Tanzania Internal Security Surprisingly!! 😆😆😆. Hiyo 🖕 ndio title ya thesis yangu!!Our Intel community seems to be weak and somewhat incompetent
Ila tumepoteza risasi nyingi sana.kuna haja ya kuongeza mafunzo ya kurenga shabaha.matumizi ya risasi nyingi na zisizo za lazima ...... zingeeza kukunja kona na kuwafikia walokuwa wakishangaa na kupiga picha
😆😆😆😆 cha ajabu Police wataanza kufanya upelelezi tena ambao utachukua si chini ya miezi 6!!Wamemuua kifo chepesi sana huyu bwana walitakiwa wamkamate akiwa hai wapate taarifa kutoka kwake kupeleleza anaishi wapi ndugu jamaa na maraiki asingetia ushirikiano wanammaliza huko huko tunapewa taarifa kauawa akipatiwa matibabu. 24 season iliniharibu saba😂😂😂
Watanzania watu wakarimu sana.....huyo jamaa aliyetoa taarifa msafara kurejea ulikotoka Mwenyezi Mungu ambariki na kumfanyia wepesi katika HURSTLES zake aaamin 🙏Alikuwa anasubiri msafara ukageuza baada ya raia mwema kutoa taarifa..
Sikiliza hapa raia akitoa maelezo ikabidi msafara urudi.
Naomba niishie hapoView attachment 1907822
Kuna watu wanajifanya wajuaji kila kitu ndio ni bora angedakwa akiwa mzima ila sio dhambi kua kauliwa. Unaweza kuta huyu alieandika haya alikua eneo la tukio na aliacha gari yake na kutokomea anako kujua yeye.Mtu ana silaha na anaua watu .Kwa nini mmuache ?By the way huwa hawasemi hawa wala kutoa ushirikiano kwa polisi. Wanakula yamini hawa magaidi. Bora wameliua tu.
Wape uelewa zaidi hao polisi waliyomuua mkuuPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Hawa polisi wetu wapo kwenye jeshi by default,wengi ni watoto wa line polisi,wazazi wao ni polisi,hawana weredi Wala Hari na wito,muhalifu anatamba nusu saa nzima katikati ya Jiji!hii ni I aibu kubwa,wangekuwa kumi,dar mpaka Ikulu ingetekwaPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Mtu kufa haimaanishi taarifa zimepotea, saa hizi kuna watu wapo kazini watajua mambo yake mpaka ambayo yeye hakuwahi kuyajuaPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Polisi aliyefeli form4 atapata wapi akili ya kuwaza haya?Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??