abousalimu
Member
- Apr 3, 2012
- 51
- 15
Duh!Hawa watu wanaovaa hizi Kofia hizi sio wakuamini kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Hawa watu wanaovaa hizi Kofia hizi sio wakuamini kabisa
Sasa unamfananisha Osama na huyu mgonjwa wa akili mwenye bunduki ?? Polisi wetu hivyo kabisahata osama wangemshika wakamhoji,
hatari sana mkuu
Polisi wetu hawajawahi pata game ya ukweli kama ile ya kenya west gate., siku ikitokea ndio tutajuwa ugaidi ni nini.ingekuwa mechi kali siku ya leo.
Kuna askari waliofariki kwenye hili tukio?Vita ni vita mbona hufikilii askari wawili waliofariki
Amenyanyua mikono juu kujisalimisha. Polisi wamemuua ki-uoga!
Hizi bunduki mitaani zipo nyingi tu mikononi mwa wahalifu.Gaidi hilo somali AK 47 limeitoa wapi ?Kuna watu nyuma yake.
Polisi wetu hawajawahi pata game ya ukweli kama ile ya kenya west gate., siku ikitokea ndio tutajuwa ugaidi ni nini.
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Yes! Vyombo vya usalama vyenye weledi hufanya hivyo kama mhalifu amejisalimisha. Hii ni kwa sababu akiwa hai anaweza kuwa na msaada zaidi kuliko akiwa amekufa.kujisalimisha huku ameua watu tayar? na ana silaha, kwamba tumfuate kwa ustarabu kumkamata au sio
Kwani si walipewa mafunzo!! Polisi wetu ni uchoko tuHatuna vifaa vya kumkamatia mtu mwenye silaha tena ya kivita.
Jaribu wewe uwe unawakamata.
Simple tu kuongea familia zao utawalelea wao.
Eti wakikutana na wanachama wa ACT wanafanya mkutano hata kama wako 10 tu na hawana hata fimbo mkononi wanaita Press eti wamekamata magaidi😅😅Polisi wetu hawajawahi pata game ya ukweli kama ile ya kenya west gate., siku ikitokea ndio tutajuwa ugaidi ni nini.
Yes! Vyombo vya usalama vyenye weledi hufanya hivyo kama mhalifu amejisalimisha. Hii ni kwa sababu akiwa hai anaweza kuwa na msaada zaidi kuliko akiwa amekufa.
Umejuwje kama ni gaidi wakati hajahojiwa??huyo ni gaidi
Sasa unamfananisha Osama na huyu mgonjwa wa akili mwenye bunduki ?? Polisi wetu hivyo kabisa
Kuinua mikono juu huku bado umebeba silaha sio kujisalimisha.Amenyanyua mikono juu kujisalimisha. Polisi wamemuua ki-uoga!
Inaonekana wewe unataka Polisi wawa uwe chadema pia badala ya kuwakamataPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??