Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
Inaonekana bado tuna askari wajasiri ila Wanakosa vifaa vya kisiasa. Kama huyu aliyemsogelea angekuwa na mawasiliano na wanaoona ingekuwa rahisi kwake. Siro hebu nunua vifaa
 
Kuna umuhimu wa kuimisha kikosi cha kupiga risasi kwa kuwinda a.k.a snipper sio tu vikosi vya FFU, mbwa , farasi nakadhalika kwa lengo la kudhibiti maandamanooooo....
 
Polisi wetu hawajawahi pata game ya ukweli kama ile ya kenya west gate., siku ikitokea ndio tutajuwa ugaidi ni nini.

mpaka inafika west gate maaana yake intelijensia ya nchi ni mbovu sana
 
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??


Mtu ana silaha na ameshaua police na yupo tayari kuua police wengine unataka wam neutralize😳 huyo ni gaidi hujui kama alikuwa amevaa suicide bombs, you don’t take a chance you finish him na the rest waachie intelligence kutafuta kama wapo wengine na wao ni kuwamaliza wakigundulika kwani mpango wao ni kusababisha massacre! It’s a rule You don’t negotiate with a terrorist
 
Hatuna vifaa vya kumkamatia mtu mwenye silaha tena ya kivita.
Jaribu wewe uwe unawakamata.
Simple tu kuongea familia zao utawalelea wao.
Kwani si walipewa mafunzo!! Polisi wetu ni uchoko tu
 
Polisi wetu hawajawahi pata game ya ukweli kama ile ya kenya west gate., siku ikitokea ndio tutajuwa ugaidi ni nini.
Eti wakikutana na wanachama wa ACT wanafanya mkutano hata kama wako 10 tu na hawana hata fimbo mkononi wanaita Press eti wamekamata magaidi😅😅
 
Huyu hapa
IMG-20210825-WA0158.jpg
 
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Inaonekana wewe unataka Polisi wawa uwe chadema pia badala ya kuwakamata
 
Back
Top Bottom