Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa walishindwa kumwagia maji ya washa washa?Kuna umuhimu wa kuimisha kikosi cha kupiga risasi kwa kuwinda a.k.a snipper sio tu vikosi vya FFU, mbwa , farasi nakadhalika kwa lengo la kudhibiti maandamanooooo....
Osama hakujisalimisha!mbna ingekua ivo mpaka leo osama angekuepo
Kwakuwa Museven kawaleta wafghanistan elfu 10 hapo Uganda ,na kati yao kuna wataaliban . Wataaliban kumi wakija hapa bongo watawakalisha polisi wote.Eti wakikutana na wanachama wa ACT wanafanya mkutano hata kama wako 10 tu na hawana hata fimbo mkononi wanaita Press eti wamekamata magaidi😅😅
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tuPolisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Kwa polisi waoga kama hawa wetu watakubaliana na yako. Lakini kwa polisi weledi wataamrisha atupe silaha zote chini, ageuke nyuma, atembee mita tano mbele halafu alale kifudifudi.Kuinua mikono juu huku bado umebeba silaha sio kujisalimisha.
Kujisalimisha ni kutupa silaha chini
Teh teh...dadeeqHuyo jamaa walishindwa kumwagia maji ya washa washa?
Maisha ya kwenye movie sio maisha halisiKwani si walipewa mafunzo!! Polisi wetu ni uchoko tu
Usingeandika neno chadema ingekua poa lakini wewe kumbe ni lipumbavu tuu.Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.
Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?
-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?
Kwa kumuua hawajatatua tatizo.
Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.
Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Juzi kuna watu niliwambia kuhusu swala hili. Afrika mashariki imevamiwa kwa urafi wa madaraka. Wale wanaoitwa wakimbizi kutoka Afghanistan ni geresha. Wale wameletwa kuleta vurugu ukanda wa afrika mashariki na M7 na mwenzake mtu mrefu nawatilia mashaka sanaKwakuwa Museven kawaleta wafghanistan elfu 10 hapo Uganda ,na kati yao kuna wataaliban . Wataaliban kumi wakija hapa bongo watawakalisha polisi wote.
Please ,gaidi ni mjanja zaidi kamwe hawezi kuzungukaka mtaani bila lengo akisubiri risasi ya polisi. Mgonjwa wa akili huyu.Gaidi hilo somali AK 47 limeitoa wapi ?Kuna watu nyuma yake.
Polisi wetu wana ujuzi wa kukamata chadema tu. Lkn kwa wanaume wenzao mikia inaingia makalioniUsingeandika neno chadema ingekua poa lakini wewe kumbe ni lipumbavu tuu.
Umeeleweka sana kiongozi nadhani sasa hivi tupo kwenye hali ya point of no return.Na mbwa akikaribia kufa hupoteza huwezo wa kunusa
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Yeye alikuwa anawalenga polisi. Shida yake ilikuwa mapolisi ndo maana hajaua Raia wa kawaida.Please ,gaidi ni mjanja zaidi kamwe hawezi kuzungukaka mtaani bila lengo akisubiri risasi ya polisi. Mgonjwa wa akili huyu.
Huyu jamaa mwenye T-shirt atafutwe, ni mzalendo, amerisk maisha yake kuusogelea msafara ili awape taarifa kwa ukaribu.Alikuwa anasubiri msafara ukageuza baada ya raia mwema kutoa taarifa..
Sikiliza hapa raia akitoa maelezo ikabidi msafara urudi.
Naomba niishie hapoView attachment 1907822