Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
umeanza vizuri umekuja kuharibu tu hapo kwenye chadema
hivi ungelikuwa ni wewe unaona kabisa mtu anafyatua ana ua watu uanze kuchagua tena sehemu ya kumdhibiti kweli? you not serious
 
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Wameshindwa kumdunga hata sindano ya mbali? Hatuna walenga shabaa
 
Marekani , Ufaransa, Sweden na Uingereza walishatokea watu kama hawa lkn walikamatwa na kuhojiwa.
Hizo nguvu hatuna watanzania badala ya kukimbia ndio kwanza wanakuja kuchungulia
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Polisi walipaswa kumtia nguvunu huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lkn kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uwoga uliyokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi) ?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata chadema tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu???
Umesema vyema kabisa. Huyu alopaswa kukamatwa sii kuuliwa. Hapo hawana clue yoyote
 
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
UNA PICHA YAKE AKIWA "AMEKUFA"
 
Mungu apishilie mbali isejekuwa katumwa na magaidi yaliyopo Msumbiji.
Hi itakuwa na athari hasi kwa utalii nchini
Yani unawaza utalii[emoji848][emoji848][emoji848]waafrika hawajipendi yanj unawaza kuwaona wazungu sio uhai wako na ndugu zako
 
Amefanya hivyo to minimize impact. Ufuatiliaji siku hizi ni mrahisi sana. Maswali ya interrogation ni mambo ya kizamani.
 
umeanza vizuri umekuja kuharibu tu hapo kwenye chadema
hivi ungelikuwa ni wewe unaona kabisa mtu anafyatua ana ua watu uanze kuchagua tena sehemu ya kumdhibiti kweli? you not serious
Ndiyo maana upolisi unasomewa
 
Ni kweli kabisa sasa tumeshindwa kujua idadi ya watu ambao wako nyuma yake hivyo ilipaswa wavunje miguu huku wakienda naye kwa umakini ili kupata data Muhimi pengine ile ilikuwa chambo tuu kupima nguvu ya maaskari wetu ikoje na tiyari wameshaijua
 
hakuna negotiation na mtu kama huyo, piga risasi mengine baadaye... kupata habari sio lazima umhoji unaweza kuinvestigate through others sources of him....jina, address, ndugu zake, rafiki zake, makazi yake, msikitini au kanisani kwake, mke wake. nk...

kwa muda huu hakuna mazungumzo na mtu mwenye AK's mbili mkononi zikiwa full magazine, tuache siasa... next time wenzie wanatakiwa watambue hakuna negotiation..
 
Polisi walipaswa kumtia nguvuni huyu mtu aliyekuwa na bunduki huko Kinondoni maeneo ya Selander. Lakini kwa kukosa weledi na kwa vile polisi Wana uoga uliokithiri wakamfyatulia risasi na kumuua.

Sasa watakosa taarifa muhimu kutoka kwa mhalifu huyu mfano:
-Ni nani?
-Katumwa na nani?
-Yuko na akina nani (wako wangapi)?
-Nini dhamira yao?

-Nini chanzo cha wao kufanya hivi?

Kwa kumuua hawajatatua tatizo.

Polisi wetu Wana ujasiri wa kuwakamata CHADEMA tu.

Kanda maalumu ya polisi jijini Dar imeshindwa vipi kumkamata mtu huyu mmoja tu??
Umeandika kiushabiki tu, hujui chochote kuhusu situations kama hizo na hasa kama mtu anafyatua hovyo risari huku zikilenga watu.
 
Kuhusu Taarifa usiwaze..

watatumia simu yake (kama alikua nao)...kisha wataanza kubinya binya mmoja mmoja.


Hvi lengo la jamaa ilikua nn??? Maana kama nikuua Raia, angefyatua risasi kwenye Gari waloliojaa abiria.
 
Police wa bongo bhana mtu kasha dead ila bado ana shushiwa risasi za kutosha adi magazine iishe


chakazi kabisa hata risasi 1000...hata kama amevaa vest ya milipuko inamlipukia mwenyewe na kukatika vipande vipande...
 
Ila huyo Gaidi Naona alimiss kufa tu.

Sasa Gaidi gani anavamia kizembe hivi.
 
Back
Top Bottom