May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Nanukuu maelezo ya mmoja wa Mashuhuda:
"Akatoka Askari mmoja huku Benki wakaanza kupambana nae..wamepambana wamepambana na huyo Askari wa Benki wamepambana wamepambana, akishuti nae anapiga, akipiga nae anapiga. Yule Mbaba alipomaliza risasi zake, akakaa hivi akasimama, akapiga magoti akaongea kiislamu, akanyanyua mikono yake juu. Alivyonyanyua ile mikono juu yule Mkaka inabidi afanyaje, ampige. Alivyofikia ya hapa (anaonesha kwa ishara) moja sijui ilifikia kwa hapa (anaonesa kwa ishara) ndio akadondoka yule baba chali. Mguu mmoja akaukunja hivi, akadondoka chali Maaskari wengine ndio wakafika"
Kuna wakati nilikuja na uzi nikihoji Askari kupiga risasi zaidi ya 40 wakiikosa tageti na baadae Msemaji akaishia kuhusisha tukio na imani zisizo na maana.
Kikubwa hapa ni WELEDI. Sijui kwa hapa kwetu, ila huko kwa wengine huwa ni kwamba lengo kubwa ya Askari anapofika eneo la tukio ni kuisitisha/kuzuia hatari iliyopo na pindi tu hatari ikishakwisha Askari hana haja ya kuendelea kushambulia.
Na pia inasemekana 'alimiminiwa' risasi. Sidhani kama hapa kuna maelezo ya maana ya kuelezea sababu za msingi za kufanya hivi.
Kwa Wenzetu huko shambulio lolote la ziada baada ya kuimaliza hatari Muhusika anashtakiwa, awe ni raia aliyekuwa anajihami dhidi ya Jambazi, au Askari.
WELEDI, WELEDI.
"Akatoka Askari mmoja huku Benki wakaanza kupambana nae..wamepambana wamepambana na huyo Askari wa Benki wamepambana wamepambana, akishuti nae anapiga, akipiga nae anapiga. Yule Mbaba alipomaliza risasi zake, akakaa hivi akasimama, akapiga magoti akaongea kiislamu, akanyanyua mikono yake juu. Alivyonyanyua ile mikono juu yule Mkaka inabidi afanyaje, ampige. Alivyofikia ya hapa (anaonesha kwa ishara) moja sijui ilifikia kwa hapa (anaonesa kwa ishara) ndio akadondoka yule baba chali. Mguu mmoja akaukunja hivi, akadondoka chali Maaskari wengine ndio wakafika"
Kuna wakati nilikuja na uzi nikihoji Askari kupiga risasi zaidi ya 40 wakiikosa tageti na baadae Msemaji akaishia kuhusisha tukio na imani zisizo na maana.
Kikubwa hapa ni WELEDI. Sijui kwa hapa kwetu, ila huko kwa wengine huwa ni kwamba lengo kubwa ya Askari anapofika eneo la tukio ni kuisitisha/kuzuia hatari iliyopo na pindi tu hatari ikishakwisha Askari hana haja ya kuendelea kushambulia.
Na pia inasemekana 'alimiminiwa' risasi. Sidhani kama hapa kuna maelezo ya maana ya kuelezea sababu za msingi za kufanya hivi.
Kwa Wenzetu huko shambulio lolote la ziada baada ya kuimaliza hatari Muhusika anashtakiwa, awe ni raia aliyekuwa anajihami dhidi ya Jambazi, au Askari.
WELEDI, WELEDI.