Huyu mhalifu wa Selander alipaswa kukamatwa, siyo kuuawa
Jamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.

Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.

Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?

Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.

Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.

Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.

Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.
Haya ni maoni yako ila tambua kuwa huyo jamaa alikuwa mobile siyo kuwa alikuwa kasimama tu. Ni lazima atakuwa na weledi mkubwa wa kutumia silaha hivyo lazima atakuwa na ana mafunzo kiasi ya kijeshi
 
Nanukuu maelezo ya mmoja wa Mashuhuda "......akatoka Askari mmoja huku Benki wakaanza kupambana nae..wamepambana wamepambana na huyo Askari wa Benki wamepambana wamepambana..akishuti nae anapiga..akipiga nae anapiga..yule Mbaba alipomaliza risasi zake..akakaa hivi..akasimama..akapiga magoti..akaongea kiislamu..akanyanyua mikono yake juu..alivyonyanyua ile mikono juu..yule Mkaka inabidi afanyaje..ampige..alivyofikia ya hapa (anaonesha kwa ishara)..moja sijui ilifikia kwa hapa(anaonesa kwa ishara)..ndio akadondoka yule baba chali..mguu mmoja akaukunja hivi..akadondoka chali Maaskari wengine ndio wakafika"

Kuna wakati nilikuja na uzi nikihoji Askari kupiga risasi zaidi ya 40 wakiikosa tageti na baadae Msemaji akaishia kuhusisha tukio na imani zisizo na maana.

Kikubwa hapa ni WELEDI...Sijui kwa hapa kwetu, ila huko kwa wengine huwa ni kwamba lengo kubwa ya Askari anapofika eneo la tukio ni kuisitisha/kuzuia hatari iliyopo...na pindi tu hatari ikishakwisha Askari hana haja ya kuendelea kushambulia.

Na pia inasemekana 'alimiminiwa' risasi.....sidhani kama hapa kuna maelezo ya maana ya kuelezea sababu za msingi za kufanya hivi.

Kwa Wenzetu huko shambulio lolote la ziada baada ya kuimaliza hatari Muhusika anashtakiwa, awe ni raia aliyekuwa anajihami dhidi ya Jambazi, au Askari.

WELEDI...WELEDI.

Ulisha koswa koswa na AK 47 hata siku moja? Kama hujawahi, bora utulie, usiandike haya. Ww unaandika wakati akili yako ya kibinadamu. Ukiwa pale kwenye tukio na risasi zinakukosa kosa, haya wala huwezi fikiri, unakuwa mnyama.
 
Nina mashaka na uwezo wako wa uelewa.

Uwanja wa vita kama ule jamaa anakuja na kushoot askari anapora bunduki anaanza kupiga kelele anadeal na askari ulitaka askari amkaribie na kumwambia "Hamza weka silaha chini bby wangu Hamza kibonge"

Ile ilikuwa vita ya niue au nikuue basi na polisi walichofanya si kosa. Unamtetea kuwa alinyosha mikono juu kivipi wakati ametoka kwenye kibanda na silaha yake.

Ulitaka polisi wamkimbilie amwage bongo zao utangaziwe polisi 24 wamefariki ufurahi?
Hata angekuwa kaweka silaha chini mimi binafsi nisingemwamini kabisa. Ningemchapa risasi kumwaahisha peponi. Akapokelewa na mabikra saba.
Kwa mauaji aliyofanya hakupaswa kuwa hai.
 
Kwa tukio la jana la Hamza kuua Police, ni dhahiri kuwa jeshi letu la polisi linawekeza zaidi kudhibiti wapinzani kuliko kudhibiti wahalifu.

Kwanza kabisa, ni bahati kubwa sana hamza hakuwa na nia ya kuua raia,angekuwa na nia hiyo angeua wengi sana ikizingatiwa kuwa kwa muda wote ule aliokaa pale na bunduki zile na hakuna police waliofika eneo husika angetaka kuua raia angekula vichwa vingi sana.

Pili,polisi hawakupaswa kumuua. Walipaswa kumdhibiti na kumkamata ili waweze kumhoji na kupata taarifa zaidi.

Jamaa hakuwa eneo la kificho, alikuwa eneo la wazi kabisaa, hivyo ilikuwa ni rahisi sana kwa 'sniper' kumpiga eneo la miguu kisa polisi wamdhibiti na wamkamate akiwa hai ili waweze kupata taarifa nyingi kutoka kwake.

Lakini, kitendo cha kumuua mtu ambaye kwanza yuko mwenyewe, pili eneo la wazi ni ishara kuwa polisi wetu hawana ujuzi wa hali ya juu ya kudhibiti wahalifu zaidi ya kuwaua.

Mwisho, natoa pole kwa familia zilizofia na wapendwa wao, Mungu awape moyo wa ustahimilifu katika kipindi hiki cha majonzi.

FB_IMG_1629899038265.jpg
 
Jamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.

Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.

Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?

Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.

Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.

Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.

Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.
Kumuacha hai kungerahibu mengi sana ...na pengine mambo yangekuwa tofauti kabisa na kinachosemwa sasa...MAREHEMU HANA HAKI
 
Kwa tukio la jana la Hamza kuua Police, ni dhahiri kuwa jeshi letu la polisi linawekeza zaidi kudhibiti wapinzani kuliko kudhibiti wahalifu.

Kwanza kabisa, ni bahati kubwa sana hamza hakuwa na nia ya kuua raia, angekuwa na nia hiyo angeua wengi sana ikizingatiwa kuwa kwa muda wote ule aliokaa pale na bunduki zile na hakuna police waliofika eneo husika angetaka kuua raia angekula vichwa vingi sana.

Pili, polisi hawakupaswa kumuua. Walipaswa kumdhibiti na kumkamata ili waweze kumhoji na kupata taarifa zaidi.

Jamaa hakuwa eneo la kificho, alikuwa eneo la wazi kabisaa, hivyo ilikuwa ni rahisi sana kwa 'snaiper' kumpiga eneo la miguu kisa polisi wamdhibiti na wamkamate akiwa hai ili waweze kupata taarifa nyingi kutoka kwake.

Lakini, kitendo cha kumuua mtu ambaye kwanza yuko mwenyewe, pili eneo la wazi ni ishara kuwa polisi wetu hawana ujuzi wa hali ya juu ya kudhibiti wahalifu zaidi ya kuwaua.

Mwisho, Natoa pole kwa familia zilizofia na wapendwa wao, Mungu awape moyo wa ustahimilifu katika kipindi hiki cha majonzi.
View attachment 1909080View attachment 1909081View attachment 1909082View attachment 1909083
FB_IMG_1629908307994.jpg
 
Sikulaumu hayo ni mawazo yako ila tambua bunduki km AK47 au SMG hawashiki askari wa kawaida angalia yule jamaa alishika silaha ya aina gani na kawaida maaskari hutumia silaha ya aina gani.
Halafu angalia Tz ni nchi ya aina gani.
Hii nchi ilizoea amani na tulikaa muda mrefu hatuna bugudha leo hii mtu km yule atokee unadhani inakuaje?
Tulishazoea amani na utulivu.
usijitoe ufahamu kwani hao askari hawajaenda shule ? wanajua kila mbinu za kushambulia na kuuwa pale ilikuwa sio kuuwa ni kuhakikisha anapatikana akiwa hai labda iwe haiwezekani kupatikana hivyo. je kwa mazingira yale kulikuwa hakuna uwezekano wa kumkamata mzima? kwani walikuwepo askari wangapi kwenye tukio ? na je maadui walikuwa wangapi? lkn adui alikuwa mmoja na ameweza kuuwa watu wa4 na baadae akawa anatamba njia yote tena kweupeeeeee bila miwani... askari walikuwa wanaweza kwa asilimia 1000 kumkamata bila kumuuwa.
WAMEPOTEZA USHAHIDI NA KESI ITABAKIA KUSUMBUA TU FAMILIA YA HUYO KIJANA MUUWAJI.
 
Jamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.

Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.

Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?

Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.

Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.

Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.

Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.
Alivyoishiwa risasi ndiyo wametoka ufichoni kuja kummalizia risasi, Polisi wetu na IGP Sirro hawana weledi, kama ameishiwa risasi na amenyanyua mikono juu wanampiga risasi ya nini? Wangemkamata wangepata taarifa zaidi kwanini kafanya vile na kama kuna wengine wapo nyuma yake. Utajua polisi wote walifeli form IV, hata ile akili ndogo hawana, wanachojua ni kupiga na kuua tu. Jamaa kawazidi ndiyo maana game ilikuwa 4 kwa moja, na pia 6 waliojeruhiwa. Sirro jiuzulu, jeshi la polisi lifumuliwe, halina weledi.
 
Jamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.

Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.

Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?

Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.

Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.

Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.

Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.
Tukio 1 tu limegeuza matukio mazuri maelfu na maelfu kuwa hakuna kitu na Askari kuonekana hawana maana.

Wapumzisheni Askari wetu jamani, siasa zenu za kipumbavu zisiwatoe hata ufahamu wa kuvukia barabara.
 
Matukio kama haya yanapotokea huwa ndio yanatuonyesha tuna vikosi gani, lakini ukiwakuta eti kwenye mazoezi ya UTAYARI, utasema hata kile kikosi hatari cha SWAT cha US, hakitufikii!!mikwala kibao!!kumbe ni ya kutisha waandamanaji tu!!!yule wala alikuwa hata sio wa kumuua, kutokana na eneo lilivyokuwa wazi vile, kuna silaha ambazo anapigwa anakuwa kama vile ame palalaizi , anakamatwa, sasa sijui kama hizo tunazo, sisi akili yote ni kwenye magari ya washawashana mabomu ya machozi tu!!
 
Nani alikuambia ukipigwa risasi miguuni hufi?
Ila pia anaweza asife,akishadhibitiwa anapatiwa matibabu sahihi na angeliwasaidia sana kupata taarifa muhimu na kuweka jinsi bora ya kukinga yasijirudie huko mbeleni.Hivyo ndivyo ilivyotakiwa kwenye like tukio.Walishafahamu anazo silaha za aina gani,walijiandaaje kumkabili bila kumuua?
 
Nanukuu maelezo ya mmoja wa Mashuhuda "......akatoka Askari mmoja huku Benki wakaanza kupambana nae..wamepambana wamepambana na huyo Askari wa Benki wamepambana wamepambana..akishuti nae anapiga..akipiga nae anapiga..yule Mbaba alipomaliza risasi zake..akakaa hivi..akasimama..akapiga magoti..akaongea kiislamu..akanyanyua mikono yake juu..alivyonyanyua ile mikono juu..yule Mkaka inabidi afanyaje..ampige..alivyofikia ya hapa (anaonesha kwa ishara)..moja sijui ilifikia kwa hapa(anaonesa kwa ishara)..ndio akadondoka yule baba chali..mguu mmoja akaukunja hivi..akadondoka chali Maaskari wengine ndio wakafika"

Kuna wakati nilikuja na uzi nikihoji Askari kupiga risasi zaidi ya 40 wakiikosa tageti na baadae Msemaji akaishia kuhusisha tukio na imani zisizo na maana.

Kikubwa hapa ni WELEDI...Sijui kwa hapa kwetu, ila huko kwa wengine huwa ni kwamba lengo kubwa ya Askari anapofika eneo la tukio ni kuisitisha/kuzuia hatari iliyopo...na pindi tu hatari ikishakwisha Askari hana haja ya kuendelea kushambulia.

Na pia inasemekana 'alimiminiwa' risasi.....sidhani kama hapa kuna maelezo ya maana ya kuelezea sababu za msingi za kufanya hivi.

Kwa Wenzetu huko shambulio lolote la ziada baada ya kuimaliza hatari Muhusika anashtakiwa, awe ni raia aliyekuwa anajihami dhidi ya Jambazi, au Askari.

WELEDI...WELEDI.

tatizo jeshi la polisi limejaa viraza
 
Haya ni maoni yako ila tambua kuwa huyo jamaa alikuwa mobile siyo kuwa alikuwa kasimama tu. Ni lazima atakuwa na weledi mkubwa wa kutumia silaha hivyo lazima atakuwa na ana mafunzo kiasi ya kijeshi

Kikosi maalumu kwa ugaidi cha polisi kijumuishwe na askari wa wanyama pori wazoefu. Sababu wao wakati mengine hulazimika kudungua swala wakiwa speed aka mobile.
 
Kufa kwake inawezekana kabisa ni faida kubwa kwa wengine...marehemu always hana haki....
Kwa sasa kilichopo ni kusubiri kelele za mitandaoni zipoe na pengine inaweza kuundwa tume ya kiaina itakayokuja na mapendekezo kadha namna ya kuboresha utendaji wa jeshi letu!
 
Kwakweli vifo vya polisi jana na yule mlinzi wa kampuni binafsi ni jambo la kusikitisha sana.

Hawa watu wana familia zoa, wake na watoto huko nyumbani, inasikitisha kwamba baba kaenda kazini lakini hatorudi kamwe nyumbani akiwa hai.

Pamoja na hayo, polisi waliokwenda kukabiliana na Hamza walionesha madhaifu ambayo ni muhimu yafanyiwe kazi. Kuendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari yuko chini sio sawa kabisa.

Pia kama kuna uwezekano wa kumkamata mhalifu akiwa hai pasipo kuhatarisha maisha ya askari, lazima hicho kiwe kipaumbele badala ya kuua tu.
TZ tuko wapumbavu wengi sana.

Askari wetu wale 14 waliofia vitani Sudan ktk kulinda amani walitukanwa mwanzo mwisho.

Polisi wa3 waliofia kwenye msafara wa viongozi kusini mwa TZ hivi karibuni waliogeshwa matusi mwanzo mwisho.

TRA wa5 waliofariki hivi karibuni halikadhalika walitukanwa kuwa ni waovu hata shetani anawaogopa.

TZ tupimwe akili maana siasa uchwara za mitandaoni zimetufanya tumekuwa wajinga hata hatuna mshikamano ktk mambo ya kitaifa.
 
Back
Top Bottom