Jamaa hana mafunzo makubwa. Askari wanaonekana kukosa weledi na woga kupita kiasi.
Jamaa alikuwa open wamepiga risasi zaidi ya 20 wakimkosa kihasara jamaa ambaye yupo open na polisi wapo zaidi ya 10. Wanakimbia kimbia tu.
Ni udhaifu yeye ambaye hana mafunzo makubwa kuwapora askari smg na kuendelea kuwatandika kuua wanne. Mtu mmoja wamejibishana naye kwa nusu saa nzima. Wangekuwa watatu na wenye uwezo mkubwa?
Kwa woga wa polisi walishindwa hata kum netraulize wampate akiwa hai kwa mahojiano. Wamempiga risasi kaangua badala ya kufanya utaratibu wa kumpata hai wanaendelea kumpiga risasi mtu ambaye tayari isnt a threat. Ni woga. Woga wa hali ya juu.
Inaonekana waliendelea hata kuimiminia risasi maiti huko mbele wakiwa hawaamini kama jamaa amefariki.
Huyu alipaswa akamatwe mzima. Angepigwa risasi miguuni au sehemu ambayo isingemlazimisha kufa. Then wange mchukua kumtibu na kuja mhoji awaeleze kisa na mkasa.
Polisi acheni kuwa mnaonea tu raia wasio na silaha. Huyu jamaa ndo alikuwa kipimo chenu tosha.