Ni dhambiMko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
View attachment 3260781
#utauponzaπ π π π π π π πHii principle inafanya kazi in short run, ila In longrun ni hatari ,utauponza
Well said... why utongoze mke wa mtuu?..mtu akikwambiaa ni mke wa mtuu achana nayee.. nyieeee wanaume ndio chachu ya mabadiliko ktk hili..oneeni huruma wanaume wenzenuu mke anaumaaa jamaniHaya mambo mnafanya lakini kuna dhambi zaidi ya hii ya kula wake za watu wapumbavu,
Familia nyingi zinaharibikia hapa na watoto kuanza kuzagaa zagaa sababu ya mafala kama nyinyi, ni wachache sana watavumilia kuchapiwa ila wengi wao kama si kugawana
Majengo ya serikali basi ni kuachana , je mkifumwa let say jamaa akuachie mke kabisa utaweza kumchukua ?
Ni vipi hujaona kabisa wanawake walio free mpka mke wa mtu?
Haya ni maswali ambayo siku moja utayajibu ukiwa na majuto sana.
rubii kwemaWe haya!
Kwa hapo kijana unakibarua kigumu uwanja wa kabumbu unamatutaπππMko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
View attachment 3260781
Bora umesema wewe tukisema sisi tunaitwa majina ya ajabuπππWakuu msimshambulie jamaa , Hawa Wanawake hawako kama vile mnavyowachukulia, wengi Si waaminifu.
πππKILA MECHI FAINALI.Ukishakula hakikisha umeshiba kabisa,siyo kesho tena unaomba menu kama yako utakatwa mapanga unywewe supu.
Mwenyewe anajiona mjanja apo mpaka anakuja kupost, kuna jamaa flani aliwahi kusema there's a very big difference between being a man and a boy for a man is always assertive but a boy is just frustrated and possessive.Haya mambo mnafanya lakini kuna dhambi zaidi ya hii ya kula wake za watu wapumbavu,
Familia nyingi zinaharibikia hapa na watoto kuanza kuzagaa zagaa sababu ya mafala kama nyinyi, ni wachache sana watavumilia kuchapiwa ila wengi wao kama si kugawana
Majengo ya serikali basi ni kuachana , je mkifumwa let say jamaa akuachie mke kabisa utaweza kumchukua ?
Ni vipi hujaona kabisa wanawake walio free mpka mke wa mtu?
Haya ni maswali ambayo siku moja utayajibu ukiwa na majuto sana.
Inawezekana ni kweli lakini hilo hali justify uhalali wa kuleta mambo yake na mke wa mtu hadharani, kama amekomaa kiakili kwanini asimalizane nae huko huko wafanye watakayokubaliana??!!Wakuu msimshambulie jamaa , Hawa Wanawake hawako kama vile mnavyowachukulia, wengi Si waaminifu.