Huyu mke wa mtu analika au haliki?

πŸ˜€ πŸ˜€ na kweli hahahaha abebe tuu
 
Huna Fundo Kijana Wa Afu Mbili,,Naona Unamwaga Radhi Utakavyo Hujali Wala Nini
 
Muulize mumewe, yeye ndo anamjua vizuri huyo muhusika.
 
Nyie ndiyo mnawapa sababu Kataa Ndoa

Hakukuwa na haja ya kuja kuweka wazi humu.

Hujawahi kusikia ishu ya Men don't kiss and tell

Pamoja na Uzee wangu nilionao, nikikufumunia na Bibi yenu lazima nikuitie kikosi Kazi

Makinika tu, Mke wa mtu sumu
 
hakikisha uwe unavaa chupi la chuma utakuja kunishukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…