Jikite kwenye hojaNi aibu sana dume zima unaleta mambo ya mke wa mtu ili upate faraja. Mke wa mtu ni uchungu uliojificha katika kona ya mbali katika moyo wa mwanaume yoyote.
Wala hakuna pride yoyote ambayo unafanya hapo, arrogance ndio imekuleta hapa,
Mimi nikuhakikishie tu beba haya mafuta muda wote
View attachment 3260784
Sawa malaya mwenzaoKaba ya nini kwenye umalaya. Tena ikiwezekana na ka video akiwa anamnyandua itapendeza zaid.
Mtu kabla hata hajala mambo yote hadharani ๐Hapa ndiyo atajua kumbe hakuna mtu pale.
Hana siri hastahili kula vya wizi.
๐Sasa kama yuko huku jamvini si atakusuta??๐
Wanaume mjifunze kuwa na kaba!
Mko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
View attachment 3260781
Umeua mkuu๐๐๐Bado hujajua Sheria,Kanuni, miongozo na taratibu za Utongozaji.
Kwenye Kutongoza mwanamke ni KOSA KUBWA SANA KUMWAMBIA "NAKUPENDA/NMETOKEA KUKUPENDA /NMEKUPENDA NAOMBA TUWE PAMOJA/NAKUPENDA NIPE NAFASI MOYONI MWAKO!!.
Ni makosa makubwa sana ambayo HAUTAKAA UMLE MWANAMKE KIMASIHARA
KWANN?? jibu ni jepesi sana, Unakua umempa mpira mikononi mwake, yaan ni yeye wa mwisho atakayeamua namna ya kuudundisha.
Siunaona hapo anakuambia mpe muda akujue?? Unahisi atakuzungusha muda gan? Na Hilo litakufanya Fala kama wewe upigwe mizinga kwelikweli !!.
Mwanamke anakua manipulated bila Kuruhusu Afanye maamuzi logically ,unambamanisha kwenye Kona itakayomuacha afanye maamuzi emotionally.
Anakuja kustuka anajiuliza "Daahh hivi imekuaje nimeshaliwa tayari na huyu mwamba??".
Kaba ndio hiki kinundu apa kwenye koromelo au ndio nini icho?Sasa kama yuko huku jamvini si atakusuta??๐
Wanaume mjifunze kuwa na kaba!
Mko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
View attachment 3260781
Kwaiyo angeendaje apo mpe mbinuBado hujajua Sheria,Kanuni, miongozo na taratibu za Utongozaji.
Kwenye Kutongoza mwanamke ni KOSA KUBWA SANA KUMWAMBIA "NAKUPENDA/NMETOKEA KUKUPENDA /NMEKUPENDA NAOMBA TUWE PAMOJA/NAKUPENDA NIPE NAFASI MOYONI MWAKO!!.
Ni makosa makubwa sana ambayo HAUTAKAA UMLE MWANAMKE KIMASIHARA
KWANN?? jibu ni jepesi sana, Unakua umempa mpira mikononi mwake, yaan ni yeye wa mwisho atakayeamua namna ya kuudundisha.
Siunaona hapo anakuambia mpe muda akujue?? Unahisi atakuzungusha muda gan? Na Hilo litakufanya Fala kama wewe upigwe mizinga kwelikweli !!.
Mwanamke anakua manipulated bila Kuruhusu Afanye maamuzi logically ,unambamanisha kwenye Kona itakayomuacha afanye maamuzi emotionally.
Anakuja kustuka anajiuliza "Daahh hivi imekuaje nimeshaliwa tayari na huyu mwamba??".
Huyu analika mkuu, ila lazima ujue kuna ile newton,s third law of motion....hii ni applicable sana, timing tu ndo inaweza kukuokoaMko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
View attachment 3260781
Duuuu unaweza jiona mjanja kumbe unaopoa dangaji lilojificha kwenye ndoaMko poa watu wa humu?
Kuna mke wa mtu nimeanza kumtongoza, na mpaka sasa tumefikia hapa.
Je analika au haliki?
View attachment 3260781
Hapa panahitaji ufafanuzi zaidiMwanamke anakua manipulated bila Kuruhusu Afanye maamuzi logically ,unambamanisha kwenye Kona itakayomuach
Jirani mjibu vizuri tukale iftari ๐นMke wa mtu sumu, kuna mmoja huyo mvaa hijab ananisumbua sana ila tangu mfungo uanze kaacha ila ukiisha najua fika ataendelea.