Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

Huyu mke wa mtu weekend hii lazima nimtafune

Mwanaume unatangaza kumla mke wa mwanaume mwenziao ili hali nchi imejaa wanawake wengi zaidi ya milioni na ushere.... Ebu acha uzinzi we jamaa...
20230204_231657.jpg
 
Daaah kwa ndoa za siku hizi zilivyo pasua kichwa, hakika ndugu yetu ni mmoja wa waliobahatika kukupata wewe, unajielewa sana kongole kwako.

Mkuu hauna hata mdogo wako alie single, ha ha ha ha!!
Mambo mengine ni kujiendekeza na kutojua thamani yao, imagine walikuwa pamoja wamefanya ya kufanya lakini walishindwana, sasa amepatikana mwanaume wa kunifanya mke, wa kuheshimisha wazazi wangu pamoja na mimi katika jamii, bado nipate hisia kwa mtu mwingine! Zinatoka wapi?
 
Wanawake nao wasengerema hawajuagi hata watu wa kuwavulia chupi hapa ukute mme wake yuko huku na ukute mwandiko wa mke wake anaujua si ndoa inavunjika hapo
 
Haya sawa,ila kumbuka uliyechat nae alikuamini....hukupaswa kuscreenshot your conservations
Watu bhana , halafu Mwanaume unakuwa unaanika mambo ya private hadharani kweli Wanaume tunaisha yaani.
 
HII NDIO COMMENT INAYOELEWEKA AISEEE
HONGERA DADA... SIO KUWA NAKUFOKEA ...ILA NAPAYUKAA ILI WENGINE WASIKIEE
Wanawake tu sometimes hatujui thamani zetu, hata juzi kati hapa nashangaa li ex langu limoja tena sio ex tu alinichumbia kabisa akatoa kishika uchumba, wazee wakaja home wakapanga mahari, nikaja gundua anacheat tena wanaishi na mwanamke pika pakua mi sjui maana tulikuwa tukiishi mbali mbali nlikuwa nkienda kumtembelea nlivogundua nikamuacha hapo hapo na Pete yake tupa kuleee eti juzi ananitext sjui nimekumiss, mara mama anakuulizia. Messages kama hizo za ma ex sjawahi na stawahi kuzijibu hadi nakufa
 
View attachment 2531714
Wanawake kwenye ndoa mtulie jamani. Msishandane na sisi. Ona huyo mpuuzi hapo juu,nimempa hi tu anataka kukumbushia. Kaniudhi sana
Kama ni Mwanamume na sio Mtoto wa Kiume huwezi ukafanya jambo kama hili, huu Mtandao unasomwa na watu wengi sana na inawezekana huyu uliyetuma hii sceenshot akawa ameiona. Halafu mbona haya mambo ni ya kawaida sana au ndio kutafuta cheap popularity humu JF huku ukimwaibisha uliyekuwa unachat naye?Umenisikitisha sana Man
 
Wee matumizi mazuri ni yepi tena hayo
Kula vizuri, fanya mazoezi pumzisha mwili wako, fanya mapenzi kwa hisia, mahaba, kwa kuenjoy, kwa kupata utammmm awwwweeee kwa kumpenda mtu mmoja sio kuupa mwili shuruba utafikiri umepewa adhabu
 
Kama ni Mwanamume na sio Mtoto wa Kiume huwezi ukafanya jambo kama hili, huu Mtandao unasomwa na watu wengi sana na inawezekana huyu uliyetuma hii sceenshot akawa ameiona. Halafu mbona haya mambo ni ya kawaida sana au ndio kutafuta cheap popularity humu JF huku ukimwaibisha uliyekuwa unachat naye?Umenisikitisha sana Man
Huenda hii account iko hacked, huyu jamaa siku hizi anaaandika Pumba sana....kama ni yeye basi amekua mtu wa hovyo mnooo..
 
Issue hata sio kulazimishwa,manzi mwenyewe anajua ni mke wa mtu.chattings za kipumbavu hivyo tena na ex wake anaendekeza za nini?
Acha atiwe tu
Mwanamke malayer ni malayer tu , wapo wengine wanawatega wanaume kabisa ili wawakung'ute
 
Wanawake nao ndio tatizo,mimi nimeambiwa ni nyoka wa kibisa sina madhara kwao
Sasa maneno kama haya kama mwanaume usiye na subira utafanyeje? Aliyesema hayo ni mwanamke wa mtu aliyetumia mbinu zake zote kwangu lakini hakufanikiwa,
Wanawake kwa kweli hawaeleweki,kuwalaumu wanaume wakati mwingine tunaonewa tu hawa watu kama huna msimamo huwezi kuhimili
 
Huyu manzi inaonesha kabisa akili zake za kushoto tu🤣🤣. Na mleta mada hata kutongoza hujui kiazi wewe🤣🤣
 
Kama ni Mwanamume na sio Mtoto wa Kiume huwezi ukafanya jambo kama hili, huu Mtandao unasomwa na watu wengi sana na inawezekana huyu uliyetuma hii sceenshot akawa ameiona. Halafu mbona haya mambo ni ya kawaida sana au ndio kutafuta cheap popularity humu JF huku ukimwaibisha uliyekuwa unachat naye?Umenisikitisha sana Man
Man najua nilichofanya. Mimi ni popular tayari nitafute popularity ya nini tena. Kukemea wake za watu kulia naona imewauma wengi
 
Back
Top Bottom