To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Sijawahi ila nikishindwa naachaWew hujawahi kuchepuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi ila nikishindwa naachaWew hujawahi kuchepuka
Hongera mkuuSijawahi dear
Mjinga mmoja huyo... kupenda sifaMpuuzi ni wewe uliyemtafuta mkuu kuliko kujakumzalilisha huku ulikuwa na maana gani kumtafuat
Hongera mkuuSijawahi ila nikishindwa naacha
Nakuonaga mstaarabu kweli yaanView attachment 2531714
Wanawake kwenye ndoa mtulie jamani. Msishandane na sisi. Ona huyo mpuuzi hapo juu,nimempa hi tu anataka kukumbushia. Kaniudhi sana
Nafanya shughuli zangu na watu wenye pesa chafu nakiri kumzidi mume wangu ila siwezi kuchosha viungo vyangu kisa pesa ya mwanaume, kwanza kwann nikubali lijitu tu linaniingilia sina hisia nalo utafikiri nasokomezwa kijiti huko?Hawajakushawishi vizuri au hawana fweza[emoji23]
Zinzi pro Max[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila isiwe kesi gonga tuu si ajabu ata manzi angu atakua analiwa na Mimi.Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
Lijiti lipi tena [emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]Nafanya shughuli zangu na watu wenye pesa chafu nakiri kumzidi mume wangu ila siwezi kuchosha viungo vyangu kisa pesa ya mwanaume, kwanza kwann nikubali lijitu tu linaniingilia sina hisia nalo utafikiri nasokomezwa kijiti huko?
Mimi ni mstaarabu sana To yeyeNakuonaga mstaarabu kweli yaan
Hii chai ina sukari sana [emoji23]Mwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje
Mke wa Mtu ni sumu Mkuu, achana naye hebu fikiria ingekuwa ndio mke wako ana lazimishwa hivyo na ukagundua ungejisikia vipi?Alikua mchepuko wangu siku za nyuma tukaja kupotezeana,so tumekutana tena na nimemdanganya danganya kaelewa somo.weekend hii natua hapo dar na bombardier ya saa 7,namtia mpaka saa 1 usiku.
Mwenye mke wake utanisamehe bure.
HII NDIO COMMENT INAYOELEWEKA AISEEEMwanamke amempenda mwanaume akamuoa, anapata tena hisia na mtu mwingine? Atakuwa tu na tabia ya umalayer.....mi nlivoolewa hata majina ya maex nliyasahau hata nikutane naye wapi hata mawasliano yangu hachukui, wa nini kwanza, kama tulipendana tungeoana lakini ilishindikana afu ndo nije kupata hisia juu yake tena? Dah sjui wanawake wengine wakoje